NI
MUENDELEZO WA ZIARA KUBWA YA KUHUBIRI INJILI DUNIANI KOTE NA MCHUNGAJI
JOSEPHAT GWAJIMA ANAENDELEA KUTUMIWA NA MUNGU BABA WA MBINGUNI KATIKA
VIWANGO VYA JUU SANA
Mchungaji Josephat Gwajima ameshafanya
mikutano mikubwa ya Injili katika miji mbali mbali nchini Japani, miji hiyo ni Osaka, Nagawa, Hiroshima,na
sasa ni Nagoya na bado Yesu Kristo aliyeishinda mauti anaendelea kutenda
miujiza ya kupita fahamu za wanadamu nchi humo.
Yafuatayo
ni matendo na miujiza mikubwa ambayo Mungu ameyatenda kupitia kwa
Mchungaji Josephat Gwajima katika mwezi huu wa April,2014 nchini Japan
 |
Mchungaji
wa nchini Japan akimkaribisha Mchungaji Josephat Gwajima katika mkutano
uliokuwa na Nguvu za Mungu za kupita kawaida, Jijini Nagoya nchini
Japan |
 |
Mchungaji
Josephat Gwajima akianza kuhubiri na kushoto kwake ni mkalimani ambaye
ni mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Tawi la Japan |
 |
Baadhi ya wachungaji na washirika wakiwa wanamsikiliza Mchungaji Josephat Gwajima kwa umakini.... |
 |
Mchungaji Josephat Gwajima akiwa anafundisha mjini Nagoya,Japan |
 |
Nchi ya Japani imejaliwa watu wa Mungu wenye kusifu sana... |
 |
Ukafika
muda ambao Roho Mtakatifu kujidhihirisha kwa nguvu na mamia ya watu
waliojazana ukumbini kunena kwa Lugha, wengine kudondoka na vifungo
vilikatika kabisa kwa Jina la Yesu. |
|
|
ROHO WA BWANA ALIKUWA JUU YA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA NA MUNGU ALIMTUMIA KATIKA UPONYAJI KWA KIWANGO CHA JUU SANA
KARIBU USHUHUDIE MATUKIO HAPA CHINI YA JINSI WATU WALIVYOKUWA WANAFUNGULIWA KUTOKA KATIKA VIFUNGO MBALI MBALI
 |
Mama huyu hapa juu alikuja kwenye mkutano jijini Nagoya akiwa hawezi kutembea,
wakati wa maombezi nguvu za Mungu zilishuka juu yake kwa namna ya
kipekee na akaweza kutembea tena UTUKUFU KWA YESU |
 |
Kiti cha matairi alichokuwa anakitumia mama huyu |
 |
Akimsifu Mungu Baada ya kuweza kutembea na kuachana na kiti baada ya kuombewa na Mchungaji Josephat Gwajima |
 |
Watu wa Mungu waliokuwa na matatizo mbali mbali na wakisumbuliwa na mapepo, pichani wako katika kuendelea kupokea uponyaji wao. |
 |
Mchungaji Josephat Gwajima akiwaombea mamia ya watu Baraka za Mungu.. |
 |
Enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu, Mkiwafundisha
kuyashika yote niliyowaamuru ninyi. Ufufuo na Uzima tumekuwa tukiendelea
na semina za kuwafundisha wachungaji wa mjini Nagoya Japan na mikutano
ya watu wote iliyokuwa na mafanikio makubwa. Utukufu wa Mungu
ulidhihirika kwa namna isiyokuwa ya kawaida.
|
|
|
|
|
|
Comments