Mwanakondoo
ameshinda,Tunasikitika kutangaza kifo cha mama Yetu Mpendwa (Mama
Mwambepo) kifo chake kimetokea usiku wa kuamkia leo.
Alikuwa ni mwimbaji
wa kwaya kuu hapa Kinondoni. hakika hili ni pigo kwa kanisa ila
maandiko ya Mungu yananena wazi kuwa imetupasa kushukuru kwa kila jambo.
Nasi hatuna budi kurudisha sifa kwa Mungu wetu aliyehai. Uongozi wa
Hekima kwaya na Waimbaji kwa ujumla wao wanatoa pole kwa familia ya
marehemu. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen

Mama
Mwambepo (wa pili kutoka kulia waliochuchumaa, enzi za uhai wake akiwa na waimbaji wenzake wa Hekima kwaya kinondoni)
Comments