NEXT LEVEL TEAM KUFANYA TAMASHA KUBWA LA UIMBAJI JUMAPILI YA TAREHE 6 MWEZI WA NNE MWAKA HUU 2014.


 Tamasha hilo lililobeba ujumbe wa UNCONDITIONAL LOVE kutoka katika kitabu cha 1Wak 13:1, Mstari unao onesha umuhimu wa Upendo litafanyika katika kanisa la CCC UPANGA Mkabala na Tawi la Chuo cha Mzumbe Dar es salaam siku ya Jumapili ya Tarehe 6 mwezi wa 4 mchana.
 Mtumishi wa Mungu akiwa katika uhakiki wa Gitaa tayari kabisa kwa tukio la jumapili
 Mchungaji Samuel Mwangati akiongoza zoezi la uimbaji akiwa na vijana wa NEXT LEVEL TEAM
Bi.Grace Mwakasindile nae akiwaongoza vijana wa NEXT LEVEL TEAM zoezi la sauti.

WATU WOTE WANAKARIBISHWA KIINGILIO NI BURE


Chanzo ni Injili forever

Comments