FURAHA KWA AMOS NA LUCIA BAADA YA KUVISHANA PETE YA UCHUMBA.

Ilikuwa ni shangwe na furaha wakati watumishi wa MUNGU Amos Omela na Lucia Daniel ambao ni waimbaji wa kwaya kuu ya kanisa la P A G Kawe au maarufu kwa jina la K P C, ambapo Amos alimwisha pete ya uchumba Lucia. 

Ni hatua njema sana na kinachofuata ni ndoa. Zoezi hilo lilisimamiwa na Mchungaji Kiongozi wa KPC Pastor Elly Boto. Hizi ni baadhi ya picha katika tukio hilo pia kumbuka Amos ndiye aliyetoa ushuhuda huu wa ajabu na MUNGU alimtetea na sasa amempa baraka mpya kama hukusoma ushuhuda huo FUNGUA HAPA

Mchungaji Elly Boto akiongea neno kabla ya zoezi la kuvishana pete ya uchumba, kulia ni Amos na kushoto ni Lucia.

Amos na Lucia

ilikuwa ni furaha kbwa kwa vijana wote kanisani.

ilikuwa ni furaha kubwa.wakati wa tukio la kuvishana pete ya uchumba.

maombi




baada ya zoezi ilikuwa ni kupiga picha za ukumbusho.


Lucia akiwa na Scholar Mungusa wa Maisha ya ushindi.

Lucia Daniel.


Comments