(i) Mungu anakupenda na u sehemu ya familia yake hakuna awezaye kuokoa zaidi yake(Yn3:16,15:9&17:3)
(ii)Unahitaji msaada wa Mungu na bila kuliamini jina la Yesu tayali umeshahukumiwa(Yn3:18&19,8:24)
(iii)Uamini kua Kristo ndiye mwokozi(Yn1:29,3:36&14:6)
(iv) Mpokee Yesu kuwa mwokozi wako(Yn1:12,5:24&10:28)
(v) Kiri kwamba Yesu ni BWANA na rafiki yako(Yn15:14,16:24&20:28)
(vi)Jifahamu sasa kwamba wewe u sehemu ya familia ya MUNGU yaani kanisa la Kristo(Yn15:5,20:19&20)
(vii)Jitoe kikamilifu kumtumikia BWANA.Fanya maombi,soma biblia na kushuhudia(Yn8:31&32,14:13&20:
Kama umeguswa na ujumbe huu,endelea kumwomba Mungu akufunulie zaidi ili umtumikie kama apendavyo.
amen
sos.sesi@yahoo.com.
Simu +255 712 909 021.
+255 784/757 464 141.
Comments