Na Mtu wa Mungu Nabii Samson Mboya 0756 809 209 |
HATUA 5 ZAKUTEMBEA KATIKA NJIA YA MUNGU
Utangulizi:
Maisha
ya kila kiumbe yana hatua za mabadiliko japo tunaishi mazingira yanayofanana
ila mahitaji yetu ni tofauti tofauti
kila kiumbe kinakusudi la kuishi katika huu ulimwengu Niwazi kuwa Kufanikiwa
kwa kila jambo tunalolihitaji katika maisha tunayoishi tunahitaji muongozo na njia ya hilo
jambo Maandiko matakatifu
ananatufundisha nini juu ya hayo Kumbu kumbu la torati 28:1-9
HATUA
5ZAKUTEMBEA KATIKA NJIA YA MUNGU
v KUSIKIA KWA
BIDII SAUTI YA MUNGU
v KUTUNZA-
MAAGIZO YA MUNGU
v KUMWAMINI -MUNGU ANACHOKUAMBIA
v KUTENDEA
KAZI -NENO LAKE ANALOKUAGIZA
v KUTUMAINI
KWA KILA JAMBO
KUSIKIA;
Unifanye kusikia fadhili zako asubuhi, Kwa maana nimekutumaini
Wewe. Unijulishe njia nitakayoiendea, Kwa maana nakuinulia nafsi yangu.
Zaburi 143:8 Unifanye kusikia furaha na shangwe, Mifupa uliyoiponda ifurahi.
zaburi 51:8
Zaburi 143:8 Unifanye kusikia furaha na shangwe, Mifupa uliyoiponda ifurahi.
zaburi 51:8
Neno la Mungu linahifadhi na
kutujilisha fadhili za Mungu na njia ya
kuiendea
v Neno la Mungu linaleta Uzima wa Milele
v Neno la Mungu lina fadhili
v Neno la Mungu lina hifadhi
v Neno la Mungu
linatujulisha njia ya kupita kuendea mafanikio yetu,
v Neno la Mungu lina leta
furaha na shangwe
v Neno linafufua mifupa
iliyopondeka kufurahi
v Neno la Mungu ni Maji
yaliyo hai
v Neno la Mungu ni Mungu mwenyewe anayejifunuwa kupitia Neno
lake,
Madhara ya
kutolisikia neno,
Kutomsikia Mungu tayari wewe unaasara kubwa
ya hayo yaliyotajwa hapo juu yote isitoshe bado utabaki mkiwa maana huna msaada
au mwelekeo wowote umepoteza njia,
Lakini kama hamtaki kusikia
maneno haya, mimi naapa kwa nafsi yangu, asema Bwana, ya kuwa nyumba hii
itakuwa ukiwa.
Yeremia 22:5
Yeremia 22:5
KUTUNZA MAAGIZO YA MUNGU
Kutunza maagizo yote Mungu anayokuelekeza
inaongeza mahusiano na Mungu
Kwa moyo wangu wote nimekutafuta, Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.
zaburi 119:10
zaburi 119:10
Maagizo Maagizo ya Bwana ni ya adili,
Huufurahisha moyo. Amri ya Bwana ni safi, Huyatia macho nuru.
Zaburi 19:8 maana yake ni maelekezo anayoyapata mtu fulani ili kufikia hatima yake
Zaburi 19:8 maana yake ni maelekezo anayoyapata mtu fulani ili kufikia hatima yake
Haleluya. Heri mtu yule amchaye Bwana, Apendezwaye sana na maagizo yake.
zaburi 112:1
zaburi 112:1
KUAMINI KILE ANACHOKUAMBIA
MUNGU
Kinachokufanya uamini kile Mungu
anakuambia kwanza ni njinsi gani unamwamini na kuamini
kunatokana na kile ulichofundishwa kikakaa ndani yako na ni kwa wingi gani Neno
la Mungu limejaa ndani yako,
Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
Warumi 10:17
Warumi 10:17
MATOKEO
YA KUTEMBEA KATIKA NJIA YA MUNGU
v
UTATUKUZWA
NA MUNGU JUU YA MATAIFA YOTE YA DUNIA
v
BARAKA
ZITAKUJILIA NA KUKUPATA HUTOZITAFUTA
v
UTABARIKIWA
MJINI NA MASHAMBANI
v
UZAO WATUMBO
LAKO UTABARIKIWA NA NCHI YAKO
v
MIFUGO NA
VYOMBO VYAKO HAVITAPUNGUWA KITU
v
UTABARIKIWA
UINGIAPO NA UTOKAPO
v
BWANA
ATAWAPIGA ADUI ZAKO MBELE YA MACHO YAKO
v
ADUI ZAKO
WATAPOKUJA KWAKO KWA NJIA MMOJA WATATAWANYWA KATIKA NJIA SABA
v
MAMBO YOTE
UTAKAYOTIYA MKONO YATAFANIKIWA
v
UTAKUWA
TAIFA TAKATIFU LA BWANA, KAMA ALIVYOAGIZA
v
MATOKEO
HAYA YANAPATIKANA VIPI?
Siku
zote matokeo mazuri yanatokana na Maandalizi Mazuri ya matokeo unayoyata
Unachokitarajia
kukipata kutoka kwa Mtu ni lazima Umtumainie kuwa anaweza kukutendea lile
unalolitaka
Neno
la Mungu nimaagizo lakini katika ulimwengu wa kiroho ni sheria,
Mwanangu, usiisahau
sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.
Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na miaka ya uzima, na amani. Rehema na kweli zisifarakane nawe; Zifunge shingoni mwako;
Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na miaka ya uzima, na amani. Rehema na kweli zisifarakane nawe; Zifunge shingoni mwako;
Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.
Usiwe mwenye hekima machoni pako; Mche Bwana, ukajiepushe na uovu. Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.
Mheshimu Bwana kwa mali yako, Na kwa malimbuko ya mazao yako yote.
Ndipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi, Na mashinikizo yako yatafurika divai mpya.
Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.
Usiwe mwenye hekima machoni pako; Mche Bwana, ukajiepushe na uovu. Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.
Mheshimu Bwana kwa mali yako, Na kwa malimbuko ya mazao yako yote.
Ndipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi, Na mashinikizo yako yatafurika divai mpya.
Mithali
3:1-10
Kanuni
ndiyo hiyo haibadilishwi wala kupingwa
Duwa yangu ni maombi Mungu akuongezee na kukufunulia siri hii, ili
kusikia kwako kukufikishe mahali pale unakostahili, kuamini kwako kukufanye
upate hitaji la moyo wako
Kutenda
kwako kukuongezee Mahusiano na Mungu Wako
Kutumaini
kwako kukufanye uwe imara hata ukamilifu wa dahari kufikia kurudi kwake Yesu
kristo Mwana wa Mungu aliye hai,
Mungu
akubariki sana akupe kuyafahamu haya uliyojifunza leo, amina........
Mtu wa Mungu Nabii Samson Mboya
kutana na Mtu wa Mungu Nabii Samson pale mkoani Geita atakuhudumia Mungu amempa Neema ya kipekee kwaajili ya maisha ya watu, unaweza ukapata masomo mbali mbali anayoyafundisha CD,DVD Piga simu utapata ukihitaji huduma ya ushahuri na maombezi piga simu hii 0756 809 209 ni bure huduma hii,
Comments