Kanisa la TAG Victory Christian Centre Tabernacle, lililo chini ya
mchungaji kiongozi Dakta Huruma Nkone, limeandaa ibada maalum siku ya
Jumamosi tarehe 11 mwezi Mei, ambapo mgeni mualikwa atakuwa Mwinjilisti
Johannes Amritzer Evangelical Mission SOS.
Tukio hili litakuwa ni kuanzia saa moja hadi saa tatu na nusu asubuhi
kwenye ibada ya kiingereza na kisha baadae saa nne asubuhi hadi saa sita
na nusu mchana kwenye ibada ya Kiswahili. Karibuni bila kukosa Mbezi
Beach A, VCCT.
Comments