Kuyapinga matendo ya mwili
ni hali ya kukataa matendo ya mwili ambayo yanapingana na Mungu na
matendo hayo ni dhambi mbele za Mungu.
Na haya ndio matendo ya mwili:-
UASHERATI, UZINZI,
ULEVI, KUABUDU SANAMU,
WIZI, ULAFI,
UCHAFU, UFISADI,
UCHAWI, UADUI,
UGOMVI, WIVU,
HASIRA, URAFI,
UONGO, MATUSI,
TAMAA MBAYA,
MAWAZO MABAYA, na mengineyo...
Na kuenenda
katika ROHO ni kuyatenda yaliyo mapenzi ya Mungu na kazi hii inafanywa na
Roho Mtakatifu ambaye humuongoza mtu kuyatenda yaliyo mapenzi ya Mungu.
Na haya ndiyo matendo ya roho:-
UPENDO, AMANI,
FURAHA, UVUMILIVU,
UTU WEMA, FADHILI,
UAMINIFU, UPOLE,
KIASI, na mengineyo kama haya...
Maandiko yafuatayo yanaonyesha na kutufundisha jinsi ya kuyapinga matendo ya mwili na kuenenda ktk roho..
WAGALATIA 5:16-25, WARUMI 8:5-14, WAKOLOSAI 3:5-11, WAEFESO 4:17-24, 1PETRO 2:11, WAEFESO 5:3-13.
Hebu chukua muda kupitia haya maandiko naamini utajifunza kitu na Mungu akubariki..!!,
BY ALEX WA JESUS.
Na haya ndio matendo ya mwili:-
UASHERATI, UZINZI,
ULEVI, KUABUDU SANAMU,
WIZI, ULAFI,
UCHAFU, UFISADI,
UCHAWI, UADUI,
UGOMVI, WIVU,
HASIRA, URAFI,
UONGO, MATUSI,
TAMAA MBAYA,
MAWAZO MABAYA, na mengineyo...
![]() |
Na Mtumishi wa MUNGU,Alex. |
Na haya ndiyo matendo ya roho:-
UPENDO, AMANI,
FURAHA, UVUMILIVU,
UTU WEMA, FADHILI,
UAMINIFU, UPOLE,
KIASI, na mengineyo kama haya...
Maandiko yafuatayo yanaonyesha na kutufundisha jinsi ya kuyapinga matendo ya mwili na kuenenda ktk roho..
WAGALATIA 5:16-25, WARUMI 8:5-14, WAKOLOSAI 3:5-11, WAEFESO 4:17-24, 1PETRO 2:11, WAEFESO 5:3-13.
Hebu chukua muda kupitia haya maandiko naamini utajifunza kitu na Mungu akubariki..!!,
BY ALEX WA JESUS.
Comments