Malikia
wa mzuiki wa Injili Tanzania Rose Muhando ametunukiwa Stashahada na
cheti cha kutambua mchango wake katika kueneza amani na mshikamano
kupitia nyimbo za injili.Stashahada hiyo alitunukiwa na Chuo Kikuu cha
Africa Graduate cha nchini Sierra Leone katika hafla iliyofanyika mjini Moshi hapa mwishoni mwa wiki.
Akimtunuku
Stashahada hiyo mkuu wa chuo cha Afrika Graduate,Dr,Timothy
Kazembe,alisema chuo hicho baada ya kurizika na kazi za mwimbaji huyo
katika muziki hasa muziki wake wa injili,ambao umekuwa ni chachu ya
ukombozi kwa watu wengi.
ChANZO:Unclejimmy
Comments