![]() |
Staa wa filamu Bongo Baby Joseph Madaha |
Akipiga stori na wana habari, Baby Madaha alisema anawasihi hata wasanii wenzake wabadili mfumo wa maisha kwa kumgeukia Mungu na kufanya ibada kila mara kwa kuwa vifo hivyo vinawapa somo la kuwakumbusha kumkaribia Mungu.
“Nimebadili mfumo wa maisha kwa kufanya ibada na ninawashauri wasanii wenzangu tumgeukie Mungu kwani vifo na mambo yanayotokea yanatukumbusha ibada na kujiweka safi,” alisema Baby Madaha.
Kutoka kwa blogger.
MUNGU awasaidie hawa wanaojiona kuwa ni watu maarufu maana umaarufu wao ni hapa hapa duniani, mbinguni hakuna anaowajua. Wanazidiwa umaarufu na watoto wadogo ila tu wanaisha maisha ya kumpendeza MUNGU huku wamempa BWANA YESU maisha yao.
Sio mpaka matatizo yaje ndio tumkumbuke MUNGU lakini wakati wa amani tunamsahau MUNGU kama yupo.
WOKOVU NI SASA NA KAMA SIO SASA BASI NI SASA HIVI.
Comments