HABARI PICHA: ILIVYOKUWA KATIKA DARASA LA WANANDOA KATIKA KAINISA LA OASIS OF HEALING MINISTRY NA MWL PETER MITIMINGI.
![]() |
Masaomo kama haya ni muhimu sana kwa wanandoa maana changamoto za ndoa ni nyingi sana. |
![]() |
Darasa kama hili huwezi kusinzia maana kila neno linalotamkwa ni point na kila neno ni muhimu. |
![]() |
Mchungaji na Mwalimu Peter Mitimingi akifundisha katika darasa hilo la wanandoa.![]() |
Comments