Rev.Dr.Barnabas
Mtokambali akiongea mbele ya vyombo vya habari.
Katika kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya
Kanisa la TAG 13-07-2014...Sokoine Mbeya....Askofu Mkuu Rev.Dr.Barnabas
Mtokambali aongea na vyombo vya Habari na kuelezea Madhumuni ya
Maadhimisho hayo....
Alisema
kuwa maadhimisho hayo yataanzia katika ngazi ya kanisa kwa lengo la kulitambulisha kanisa la mahali pamoja na
baadaye ngazi ya Jimbo na fainali itakuwa ni ngazi ya taifa mkoani Mbeya.
Pia aliliomba kanisa la TAG kwa ujumla wake kuwa msimamizi wa Taifa kwa kuliombea na kutumika katika huduma za kijamii.
Mwisho alieleza maadhimisho hayo yataongozwa na mgeni rasmi Mh.Rais wa jamuhiri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete
Waandishi wa habari Blogges wakiwa busy kuchukua habari
Kanisa
la TAG, ambalo linaongoza miongoni mwa makanisa ya TAG, kukua kwa kasi nchini
linatimiza miaka 75, tangu lianze nchini huku likienea kila mahali kuanzia
mijini mpaka vijijini.
Comments