Wakazi wa Mbeya wakifurahia Mbeya Gospel Festival baada ya Martha Baraka
kupanda jukwani na kushambulia jukwaa kwa kulitaja jina la Yesu na
matendo makuu ya Mungu kwa kupitia uimbaji. Ukisikia watu
kuchanganyikiwa siku ya ijumaa 21/06/2014 Mbeya hapakukalika.
Martha Baraka
Tunawashukuru wakazi wa Mbeya kwa kile mmekifanya kwa utukufu wa Mungu. Mliacha kazi zenu na mkaweza kuungana na waimbaji mbalimbali kutoka Tanzania. Na tunatumaini mliweza kukijua CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI TANZANIA kutoka kwa viongozi wake. Tunaamini mtajiunga ili muweze kusaidiwa pale mnapokwama kimuziki.
Tuone baadhi ya matukio


Martha Baraka
Tunawashukuru wakazi wa Mbeya kwa kile mmekifanya kwa utukufu wa Mungu. Mliacha kazi zenu na mkaweza kuungana na waimbaji mbalimbali kutoka Tanzania. Na tunatumaini mliweza kukijua CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI TANZANIA kutoka kwa viongozi wake. Tunaamini mtajiunga ili muweze kusaidiwa pale mnapokwama kimuziki.
Tuone baadhi ya matukio

Martha Baraka
Martha Baraka
Martha Baraka
Comments