Kutana na Mtu wa Mungu,Nabii Samson pale katika Hema ya Kinabi Nyankumbu Mkoani Geita Tanzania,
|
Utangulizi:
kuna watu wengi sana wamezuwiwa maeneo Mali mbali katika ulimwengu wa Kiroho wamezuhiliwa kuona walichotakiwa kuona,
kusikia walichotakiwa kusikia, kusema
walichotakiwa kusema,kiafya
magonjwa hayawaachi wakapumuwa, nyuma zimegeuka Maduka ya Dawa,kielimu
wanapenda kusoma lakini hawaelewi kabisa, Ondowa kizuwizi upite,unahitaji Nguvu
ya kupita,
Nguvu ya Mafanikio ya kila jambo linalofanyika katika hii Dunia ni matokeo mazuri ya
Maandalizi Mazuri yaliyoambatana na
uhuru wa kutenda lile unalolitaka lifanyike, na kila jambo unalotaka kulifanya
linaupizani, na ili ufanikiwe unahitaji Nguvu ya kupita ile ya upinzani,
Mafanikio ya watu yamezuhiliwa katika
ulimwengu wa kiroho,
Kupita nini,
Kupita ni
kutimiza Lengo lako ulilokusudia kulifaya,
Malengo ya watu wengi yamezuwiliwa na watu wengine wanajuwa na wengine hawajui,
kama umezuiliwa Huwezi kufanya chochote Mtu akipelekwa sero wanasema yuko
kizuwizini, ulikuwa unafanya biashara,uchumba Masomo biashara Huwezi tena,
Hesabu
20:21 Basi hivyo Edomu akakataa kumpa
Israeli ruhusa kupita katika mipaka yake; kwa
hivyo Israeli akageuka na kumwacha.
Tunajifunza hapa Wana wa Israel wamezuiliwa kupita
wakageuka, kushindwa kupita maana yake
Nguvu uliyonayo au mamlaka uliyonayo ni Ndogo kuliko ile Nguvu
iliyokuzuwia
Madhara ya
kuzuhiliwa kupita,
v Unaweza
kujikuta unageuza Malengo yako
v Unaweza
ukatofautiana na hatima ya maisha yako,
v Unaweza
ukachelewa kufika katika hatima yako
v Unaweza
kujikuta unakata tamaa ya kuendelea mbele,
v Unaweza
ukatumikishwa japo hutaki,
Kizuwizi katika maisha ni kitu kibaya sana, unahitaji Nguvu ya kukuwezesha kupita,
Isaya
43:16 Bwana asema hivi, yeye afanyaye njia katika bahari; na
mahali pa kupita katika maji yenye nguvu;
Kukubali Mungu akatawala maisha yako ni kukubali kupia
maana yeye kwanza ni njia ya Uzima na
anafanya njia katika bahari mahali pa maji yenye Nguvu Hivyo hunasababu
ya kugeuza njia,au kufanya maarifa yako
yatakushinda kubali mwenye njia akupe njia ya kupita,
Kila mtu anayezaliwa Mungu anakuwa amemwandalia njia yake
katika mpangilio mzima wa maisha yake kinacho leta shida watu wanaziharibu
hizonjia wao wenyewe kwa kutofuata maelekezo yale ya Mungu aliyoweka,
Mwanzo 6:12 Mungu
akaiona Dunia, na tazama, imeharibika; maana kila mwenye mwili amejiharibia njia yake duniani.
Kwanini njia
inaharibika,
Ayubu 19
: 8 Yeye ameiziba njia yangu nisipate kupita, Na kutia
giza katika mapito yangu.
9 Amenivua utukufu wangu, Na kuiondoa taji kichwani mwangu Njia inaharibika kwakupoteza mahusiano na Mungu Ibilisi alichokitaka kwa Ayubu ni kumfarakanisha yeye na Mungu akatumia Mbinu Mbali mbali kuharibu njia ili ayubu akose msaada wa ania yeyote,
9 Amenivua utukufu wangu, Na kuiondoa taji kichwani mwangu Njia inaharibika kwakupoteza mahusiano na Mungu Ibilisi alichokitaka kwa Ayubu ni kumfarakanisha yeye na Mungu akatumia Mbinu Mbali mbali kuharibu njia ili ayubu akose msaada wa ania yeyote,
Kunasomo
nzuri la kujifunza hapa kwa Rafiki yetu Ayubu,
Nataka umfahamu adui na Baadhi ya Mbinu anazozitumia
kukuharibia Mahusiano yako na Mungu njia ikiharibia fahamu hakuna safari,
Sisi tu wasafiri hapo ulipo fahamu hivyo Hapa Duniani
ni kakituo tu sasa Tunapoendelea na
safari yetu ukipoteza njia umepotaza safari, umepoteza Hatima,Muovu anajaribu
kujifunuwa kwa matukio mbali mbali ili
usimfahamu kuwa ni yeye, lakini ndivyo alivyo, kibinadamu haya matukio
yaliyompata Ayubu Angeweza kujikuta
ameharibu njia na akapoteza Mahusiano,
Hebu tumwangalie Muovu jinsi anavyoweza kujificha
ndani ya vitu, akashambulia kwa matukio yaliyopambwa majina,tofauti tofauti,
Ayubu
1:10
v Waseba wakawashambulia,
wakawachukua wakaenda nao
v Moto wa
Mungu umeanguka kutoka mbinguni na kuwateketeza kondoo, na wale watumishi, na
kuwaangamiza
v Wakaldayo walifanya vikosi vitatu, wakawaangukia ngamia, wakaenda
nao, naam, wamewaua wale watumishi kwa makali ya upanga
Nikatafakari nikisema, Nimejipatia hekima nyingi kupita wote walionitangulia katika Yerusalemu; naam,
moyo wangu umeona kwa wingi hekima na maarifa.
v
Upepo wenye nguvu ukatoka pande za
jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, nayo ikawaangukia hao vijana,
nao wamekufa;
Ndipo Ayubu akainuka, akalirarua joho lake, kisha
akanyoa kichwa chake, na kuanguka chini, na kusujudia;
21 akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nili uchi, nami nitarudi tena huko uchi vilevile; Bwana alitoa, na Bwana ametwaa; jina la Bwana na libarikiwe.
22 Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi, wala hakumwazia Mungu kwa upumbavu
21 akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nili uchi, nami nitarudi tena huko uchi vilevile; Bwana alitoa, na Bwana ametwaa; jina la Bwana na libarikiwe.
22 Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi, wala hakumwazia Mungu kwa upumbavu
Isaya
43:17 atoaye gari na farasi, jeshi la askari na uwezo; wamelala, hawataondoka; wametoweka, wamezimwa
mfano wa utambi.
Sitaki kujuwa wewe
au aliyekuziwia ni nani ninachokifahamu ni kitu kimoja Yupo mwenye uwezo wote,
anayefanya njia baharini katika maji yenye Nguvu,
Anayeondoa Magari na
farasi Jeshi la Askari na uwezo,
Wote watakao niona
watalala Hawataondoka, watazimwa kamo utambi,
Omba Maombi Haya simamia maandiko ya kuondoa Maadui
katika njia yako yaani anza na Toba Nipo
URuhusu Nguvu za Bwana zi kawatawanye Maadui
kisha wa lale, walaze usingizi wewe upite,
Yeremia 10:23 Ee Bwana, najua ya kuwa njia ya mwanadamu haimo
katika nafsi yake; kuelekeza hatua zake si katika uwezo
wa mwanadamu.
Danieli
8:24 Na nguvu zake zitakuwa nyingi mno, lakini si
kwa uwezo wake mwenyewe; naye ataharibu kiasi cha
kustaajabisha watu, na kufanikiwa, na kutenda apendavyo; naye atawaangamiza hao
walio hodari na watu watakatifu.
Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye
afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.
Mithali 21:18
Comments