TAMASHA LA UIMBAJI NDANI YA FPCT MOROGORO LAFANA


Ilikuwa ni jumapili ya Tarehe 22 mwez wa 6 katika ukumbi wa kanisa la FPCT Morogoro ambapo tamasha kubwa la uimbaji lilifanyika likishirikisha kwaya na vikundi binafsi vya uimbaji.

Habari njema katika tamasha hilo ilikuwa taarifa rasmi ya uwepo wa tamasha kubwa mwezi wa nane litakalo ongozwa na waimbaji wakubwa Afrika Mashariki akiwemo Sarah K na Solomon Mkubwa.

Baadhi ya picha za Tamasha ni hizi zifuatazo,




 Mtumishi wa Mungu Mwita akitawala jukwaa
 Kwaya ya KKKT Majengo (Kihonda)
Chotlda Mathias akimuimbia Mungu ndani ya ukumbi wa FPCT Morogoro

Comments