Mtayarishaji na mmiliki wa kampuni ya
kutayarisha video za Injili KINGDOM MEDIA Bwana Alex Joseck,naye pia
meguswa na kifo cha mwimbaji wa nyimbo za injili hapa Tanzania dada
DEBORA SAID kilichotkea jana Asubuhi...
Hivi ndivyo alivyoandika kwenye ukurasa wake wa facebook....
"Ni
masikitiko kwetu tuliobaki, kwa tasnia nzima ya muziki wa injili,
hakika hatutasahau mchango mkubwa na huduma ya mtumishi wake, Deborah
John Saidi. Yesu ndie mfariji wetu tuliobaki, Bwana alitoa, na Bwana
ametwaa, jina lake Yesu libarikiwe.
Amen"
Nasi kama wadau wa Injili tunatoa pole kwa familia ya marehemu....
Comments