Kanisa katoliki limewataka wajumbe wa
bunge la katiba wanaounda umoja wa katiba ya wananchi Ukawa kurudi
bungeni na kuendelea kuijadili rasimu ya pili ya katiba bila masharti
yoyote huku bunge hilo likitahadharishwa na upotoshwaji au uchakachuaji
wowote utakaofanywa dhidi ya rasimu hiyo ambayo ni maoni yaliyokusanywa
kutoka kwa wananchi.
Kanisa katoliki limewataka wajumbe wa
bunge la katiba wanaounda umoja wa katiba ya wananchi Ukawa kurudi
bungeni na kuendelea kuijadili rasimu ya pili ya katiba bila masharti
yoyote huku bunge hilo likitahadharishwa na upotoshwaji au uchakachuaji
wowote utakaofanywa dhidi ya rasimu hiyo ambayo ni maoni yaliyokusanywa
kutoka kwa wananchi.
Comments