![]() |
mtumishi wa MUNGU Josephat Mwingira, mbeba maono wa huduma ya Efatha |

Watu wengi waliokoka siku ya jana na kuyakabidhi maisha yao kwa Yesu Kristo. Kwahiyo ibada hii ilianza na mwanzo mzuri wa kuwavuna watu kwenda kwa Yesu Kristo. Waumini wa kanisa hili walifurahi sana na ratiba hii mpya, waliweza kuimba, kucheza na kumtukuza Mungu kwa vifijo na nderemo.
Ibada hii ilifungwa kwa kuiombea na pia kuibariki siku ya Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili siku ya mavuno.
Comments