Unaweza ukawa unafanya vitu mafichoni na inakuwa vigumu sana kwa
mwanadamu kukuona. Jicho la Mungu lipo mahali popote na muda wote. Huyu
ni mwizi ambaye amekuwa akiwaibia watu kwa muda mrefu sana bila ya
kukamatwa kutokana na kujificha kwake lakini leo hii jicho la Mungu
limemfichua alikojifisha na sasa amewekwa machoni pa watu
akijidharirishwa kwa maovu yake.
Wakazi wa Mbeya Mungu amewaona na kuwasaidia kwa kumfichua huyu mwizi ambaye alikuwa akitesa wakazi wa Mbeya. Mwizi huyu alikamatwa Mkoani Mbeya eneo la Soweto garage akiimba funguo za gari.
Tuone baadhi ya picha.

Kijana huyo ambaye hajajulikana jina kwa Mara moja akiwa ametundikwa katika mti baada ya kukamatwa anaiba funguo za magari katika Garage moja Soweto.


Kijana huyo akiwa anapata shida na mateso kwa kuwa alikuwa amebinya na kamba hizo mtini

Kijana huyo akiomba msaada wa kutolewa hapo na kuomba msamaha

Kijana huyo akiendelea kuteseka

Hali inakuwa Mbaya zaidi

Kijana huyo akiwa anashushwa baada ya adhabu kali
Wakazi wa Mbeya Mungu amewaona na kuwasaidia kwa kumfichua huyu mwizi ambaye alikuwa akitesa wakazi wa Mbeya. Mwizi huyu alikamatwa Mkoani Mbeya eneo la Soweto garage akiimba funguo za gari.
Tuone baadhi ya picha.

Kijana huyo ambaye hajajulikana jina kwa Mara moja akiwa ametundikwa katika mti baada ya kukamatwa anaiba funguo za magari katika Garage moja Soweto.


Kijana huyo akiwa anapata shida na mateso kwa kuwa alikuwa amebinya na kamba hizo mtini

Kijana huyo akiomba msaada wa kutolewa hapo na kuomba msamaha

Kijana huyo akiendelea kuteseka

Hali inakuwa Mbaya zaidi

Kijana huyo akiwa anashushwa baada ya adhabu kali
Comments