Usidharau
 Ndoto Unaoyoota. Miaka Michache Iliyopita Niliota Ndoto Ambayo Ilikuwa 
Ikijirudia Rudia, Niliona Fuvu La Mwanadamu Likiwa Na Mifupa Yake Yote 
Likitembea yaani Skeleton ,  Alikua Ni Mtu Kamili Ila Hana Nyama Zote Kwenye Mwili 
Wake, Nilianza Kuwaombea Ndugu Zangu Niliowapenda Nikijua Kuna 1 Wao 
Nisiyemjua Atakua Anaumwa, Nilijua Yule Fuvu Ni Mtu Ambaye Namfahamu, 
Ambaye Natakiwa Kumsaidia, Ndoto Hiyo 
Ilijirudia Kila Mara Huku Mimi Nikidhani Sio Mimi, Ndipo Jioni Moja 
Pastor Wangu Akaambiwa Na MUNGU Live Maana Ya Ndoto Yangu Hata Bila 
Kumwambia Mimi, Niliogopa Sana Maana Nilifahamu Hakuna Ajuaye Ndoto 
Niliyoota, | Nilijiona hivi kwenye ndoto. | 
Uwe Mwangalifu Pale Unapoota Ndoto Maana Ndoto Ni Mwongozo. MUNGU Analinda Kila Kilicho Chako Katika Dunia Hii, Ili Shetani Na Malaika Zake Waovu Wasije Kuharibu Kile MUNGU Ameweka Mbele Yako. Fikiria Kuhusu Farao Mfalme Wa Misri. Ingekuwa Vipi Kama MUNGU Asingemletea Ndoto? Wangekufa Kwa Njaa Karibu Nchi Nzima, Ingekuwaje Kama MUNGU Asingemfanya Yusufu Kuwa Muotaji Na Mfasiri Wa Ndoto? Pengine Angefia Gerezani, Vipi Kama MUNGU Asingempa Ndoto Yusufu, Si angekuwa Amemwacha Bikra Maria? Ndoto Zina Nguvu Na Kwa Jinsi Hiyo MUNGU Huwasiliana Na Watu Kwa Njia Ya Picha Au Maneno.
Comments