(1) kabla ya kulala msihi Roho mtakatifu akuamshe pindi itakapo
fika saa 9 alfjiri yeye anaitwa msaidizi wetu,, kama wewe huwa
unalemewa na usingizi Yeye atakuamsha na kuomba pamoja na wewe,yeye ni
mwaminifu halali hachoki wala hasinzii amini atafanya
(2) kunywa maji mengi kabla ya kulala
(3) hakikisha unakula mlo mdogo kabla ya kulala usishibe sana
(4) tegesha kengele ya simu yako saa 9:00 alfajiri nayo itakuamsha
(5) jiunge na waombaji wa usiku
MUNGU akubariki.
By Rungu la Yesu.
(2) kunywa maji mengi kabla ya kulala
(3) hakikisha unakula mlo mdogo kabla ya kulala usishibe sana
(4) tegesha kengele ya simu yako saa 9:00 alfajiri nayo itakuamsha
(5) jiunge na waombaji wa usiku
MUNGU akubariki.
By Rungu la Yesu.
Comments