SIKU 7 ZA MITUME 7 KATIKA MADHABAHU MOJA RGC MIRACLE CENTRE TABATA CHANG'OMBE.

Kutoka London England huyu ni  Apostle Joseph Njuguna III
Kuanzia tarehe 1 -7 july mwaka huu kulikuwa na  mkutano wa ndani mkubwa sana katika ukumbi wa kanisa la RGC Miracle Center, Tabata Chang'ombe kwa Mtume Peter Nyaga. Zilikuwa ni siku 7 za unabii katika mwezi huu wa 7 ambapo kwa mamia waliohudhuria hakika walifaidika na mafundisho na maombezi ya nguvu ambapo BWANA YESU kwa kupitia watumishi wake hao mitume 7 aliwaponya watu wake na kuwaacha huru mamia kadhaa. Hizi ni baadhi tu ya picha katika tukio hilo la siku 7 za kinabii.










Upendo Nkone kazini
fire for fieeeeeeeeeeeeeeeeeeee watu wakifunguliwa kutoka kwenye nguvu za giza.
maombezi
Hapa ni siku ya 3 ya fire for fire, Mtume Peter Nyaga na mkewe Mchungaji Anna
mamia waliohudhuria.




Comments