Skip to main content
ASKOFU MKUU WA TAG DR. BANARBAS MTOKAMBALI ACHAGULIWA KUWA MAKAMU WA AFRICAN ASSEMBLIES OF GOD
Askofu
Dr. Mtokambali ambaye kwa sasa yuko nchini marekani na baadhi ya
wachungaji wa Kanisa hilo nchini humo kulikokuwa na maadhimisho ya miaka
100 ya Kanisa la Assemblies of God nchini humo ameteuliwa kushika
wadhifa huo Mapema wiki hii.
Comments