KANISA LA FULL GOSPEL BIBLE FELLOWSHIP LA SHEREKEA MIAKA 25 KWA MAANDAMANO.


Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) linaloongozwa na Askofu Mkuu, Zachary Kakobe limesherekea miaka 25 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1989 leo kwa maandamano.
Sherehe hizo zilihudhuriwa
na waumini  zaidi ya 5,000 kutoka mikoa na wilaya mbalimbali za Tanzania na  maandamano hayo yalianzia Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mpaka makao makuu ya kanisa hilo Barabara ya Sam Nujoma.
 Kwaya ya FGBF Mwika Moshi na pozi la picha








Askofu Kakobe na baadhi ya wachungaji wakiwasili kanisani
Askofu Kakobe akizungumza na waandishi wa habari

Comments