Kila jambo ukipanga na ukafuatilia matokeo yake mara nyingi huwa chanya. helikopta - imewasili rasmi katika kanisa la Gwajima baada ya
kujibiwa maombi yao na juhudi zao zimeleta matunda. Helikopta hiyo
ambayo inasemekana itatumika kama chombo cha angani katika kuhubiri
Injili ya Yesu Kristo na kufika sehemu zisizofikika. Na kufuatia hilo
sasa kanisa la Utukufu wa Yesu, Glory of Christ Church Tanzania, ama kwa
jina maarufu Ufufuo na Uzima chini ya Mchungaji Kiongozi, Askofu
Josephat Gwajima, watakuwa na ibada ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya
kuwafanikisha kwenye jambo hilo.
Mungu awabariki wote walioshiriki kubeba maono ya Mtumishi wa Mungu Gwajima

Mungu awabariki wote walioshiriki kubeba maono ya Mtumishi wa Mungu Gwajima

Comments