Mwimbaji Enock Jonas katika picha
Ni ujio mpya wa mwimbaji wa nyimbo za
injili tanzania Enock Jonas umewabariki wakazi wa nyanda za juu kusini
baaada ya kuja na albamu iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na wakazi hao.
Akizungumza nasi mmoja kati
ya wakazi wa Iringa aliyenaswa akinunua nakala ya albamu
hiyo ya KIZUNGUZUNGU amesema amevutiwa sana na uimbaji wa mwimbaji huyo
huku akimsifia kuwa anatazama wakati tulio nao maana watu wengi hawaamini kuwa YESU KRISTO ni
mtaji anaweza kuwatajirisha.
Ndani ya albamu hiyo utakutana na nyimbo
kali kama vile YESU ni mtaji ,nipe mdundo, kizunguzungu na wimbo ambao
watu wengi wapendezewa sana nao unaitwa ninafuta maneno yenu
Comments