MATUKIO YA TAMASHA LA UZINDUZI WA ALBAMU YA IBRAHIM AHAZ SANGA NDANI YA LANDMARK HOTEL UBUNGO RIVERSIDE - DAR


Ibrahim Sanga kwa kupitia blog hii anawashukuru watu wote waliofika katika tamasha lake lililofanyika hivi karibuni. Pia anamshukuru sana mgeni rasmi Mh. Mwigulu Nchemba, waimbaji wote na media zote na bila kusahau kampuni ya AGP Press  kwa ushirikiano wao mkubwa kuhakikisha kazi ya Mungu inaenda kama ilivyopangwa. Mungu azidi kuwabariki katika kazi zenu na azidi kulinda afya zenu. By Rumafrica blog.
 Ibrahim Sanga akisalimia na Mh. Mwingulu Nchemba


 Ibrahi Sanga akiwa na stage show wake akimsifu Mungu wetu siku ya tamasha




Maombi yakiendelea
 
Mh. Mwigulu Nchema akifungua rasmi DVD ndani ya kisanduku

Comments