Muimbaji Pastor Uche aliyejipatia umaarufu na kundi kubwa la muziki nchini Afrika Kusini (Joyous Celebration) siku ya leo katika account yake Instagram amepost picha tatu zinazo ashiria kurudi kwenye kundi hilo na kufanya album
ya 19 na
Joyous.Baada ya kupost picha hizo maswali mengi alipata kutoka kwa
mashabiki wake hivyo kuwaacha na maswali pasipo kujua nini kinafata.
Tazama picha hizo hapo chini kwa hisani ya Unclejimmytemu.com
Comments