Gospel
Star Rose Muhando malikia wa muziki wa injili Tanzania wiki tatu
zilizopita alikua nchini Kenya kihuduma ambapo alipata wasaha mzuri
kukutana na baadhi ya waimbaji nchini Kenya.
Moja kati ya muimbaji ambaye ni rafiki yake kwa muda
Maryanne Tutuma alipata bahati ya kufanya kolabo na Rose.
Maryanne na Rose Muhando.
Maryanne
ni muimbaji anayefanya vizuri kenya tofauti na hapa nyumbani
Tanzania,ni muimbaji aliyepata airtime nzuri kwenye vituo vya kidini
Kenya.Ukiacha hilo Maryanne Tutuma ana ufahamu vizuri muziki wa injili
wa Tanzania hivyo kupitia Rose Muhando anaamini kolabo hilo litakua la
kuotea mbali alisikika akisema Maryanne.
Maryanne
amekua akifanya nyimbo nyingi za kikabila ila kwa sasa wamefanya kolabo
na Rose ikiwa katika lugha ya kiswahili.
endelea kufuatiliaa.
Comments