![]() |
mwalimu wa Neno la Mungu,(Myles Munroe), mkewe (Ruth Munroe) na binti yao (Charisa Munroe), Enzi za uhai wao. |


Uchunguzi zaidi unafanyika leo ili kubaini chanzo cha ajali hiyo.
taarifa zaidi nitakuletea kadri zitakapopatikana

![]() | |
Hapa
ni Mchungaji Dr.Myles Munroe akisalimiana na Dr.Ghalib Bilal Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania,siku Mwalimu wa Neno la Mungu,(Myles Munroe), mkewe (Ruth Munroe) na binti
yao (Charisa Munroe), walitwaliwa kwa pamoja katika ajali ya ndege yao.
Na hata sasa, katika maandiko na machapisho yake, japo
amelala mauti, tunajifunza na kujegwa. Mungu aliyempa mtumishi wake
Myles Munroe vipawa vya kufundisha na kuandika, atukuzwe milele na
mileel Amen. Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenipeleka maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi (YN 9:4 SUV). Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao. (UFU. 14:13 SUV). Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida. (FLP. 1:21 SUV). Kwa maana, mimi sasa namiminwa, na wakati wa kufariki kwangu umefika. Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda; baada ya hayo nimewekewa taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake. (2 TIM. 4:6-8 SUV). Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo? (YN. 11:25-26 SUV). Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti. Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo. (1 THE. 4:13-18 SUV). BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe (AYU. 1:21b)alipokuwepo nchini Tanzania,jijini Dar es Salaam |
Comments