Pastor Deo Lubala aadhimisha miaka 26 ya ndoa na Mkewe Clara Lubala,

Hii ni sehemu ya tafrija aliyoifanya Mchungaji wa kanisa la World Alive Ministry lililopo maeneo ya Sinza Mori  jijini Dar es Salaam katika kuadhimisha kutimiza Miaka 26 ya ndoa yake na mkewe, Clara Lubala,

Hii ni picha iliyopigwa November, 05th 1988.siku ya Harusi kati ya Pastor Deo Lubala Bi Clara

 



Comments