Mwanamuziki wa nyimbo za injili toka
nchini Tanzania Upendo Kilahiro ametunukiwa tuzo maalum iitwayo
INSPIRATIONAL MUSIC AWARD kutoka bodi ya wakurugenzi ya SAB imetoa kwa
Upendo kutambua mchango wake mkubwa katika muziki wa injili wa katika
Afrika Mashariki hususani Tanzania kwa kuwahamasisha wengi na kuwasaidia
wengi kwa uimbaji wake na pia kwa kuendelea kuutambulisha muziki wetu
kwa anga za kimataifa.
Sehemu ya huduma aliyoifanya Upendo Kilahiro alipokua nchini Marekani waweza tazama picha hapa chini
Comments