![]() |
Askofu Zakaria Kakobe akifundisha huko Kinshasa Kongo |
Muujiza
wa pili ulitokea katika mkutano niliufanya katika kijiji cha Chalinze, mkoani
Pwani, mwishoni mwa mwezi Januari 1989; ulikuwa umefadhiliwa na Elim Pentecostal Church. Hapo, pia
wanakijiji walikuwa wagumu kuingia kwenye mkutano kwa sababu hawakuamini katika
miujiza. Katika siku ya kwanza ya mkutano, walikuwepo watu wachache sana
mkutanoni. Wengi wa waliohudhulia, walikuja katika makundi, wakiambatana na
mwanamke aliyekuwa bubu wa aina yake.Si tuu kwamba hakuweza kuongea hata neno
moja kwa miaka mitatu, lakini pia kwa kipindi chote hicho, aliwika kama jogoo
kila baada ya masaa matatu hadi manne. Kila mwanakijiji alimjua mama huyo kwa
sababu ya aina yake ya kipekee ya ububu. Sayansi ya kitabibu haikuweza kuelezea
kivipi mwanadamu angeweza kuwika kama jogoo! Watu waliniambia, “Mhubiri, kama
maombi kwa Jina la Yesu yanaweza kumfanya mama huyu aongee, na kuacha kuwika,
basi tutaamini mahubiri yako na kumfuata Yesu wako.”
Nikawaambia,
“Nendeni mitaani mkawaalike watu wengi kadri muwezavyo, waje waone muujiza huu.
Baada ya ombi fupi, ataongea kama kawaida, na kuwika kutamtoka.” Walikwenda
mitaani na bila kitambo kupita hata kidogo, viwanja vilifulika mamia ya watu
waliokuwa na shauku ya kuuona muujiza. Unajua nini! Baada ya ombi fupi, mama
aliongea kawaida, na hapakuwa na kuwika tena. Masaa manne yalipita, na hapakuwa
na dalili za kuwika. Wakamuangalia tena usiku wote na kwamshangao wa kila mtu,
kuwika kulikuwa historia! Siku iliyofuata, karibu kijiji kizima, kilivutwa
kweye viwanja vya mkutano, na mamia ya watu wakayakabidhi maisha yao kwa Yesu.
Hii iliendelea kila siku, hadi siku ya mwisho ya mkutano; na muujiza huu pia
uligeuka kuwa mada ya kijiji kwa miaka kadhaa baada ya mkutano.
Mkutano
wa mwisho wa Kakobe, kati ya ile kumi, ulifanyika Kanisa la Pentekeste
Kijitonyama Dar es Salaam. Hiyo ilikuwa ni mwishoni mwa mwezi wa Pili, mwaka
1989. Baada ya mkutano huu, alitenga muda kuwasiliana na wachungaji wenyeji
wake katika mikutano yote kumi , ili kujua kama, kama ufuatiliaji mzito wa kina
unahijika kwa waamini wote wapya walioamua kumfuata Yesu, katika mikutano hii,
na kama imefanywa kisawasawa baada ya mikutano. Nia yake, tangu mwanzo, haikuwa
tuu kuleta matunda katika mikutano, lakini kuhakisha kwamba matunda yake
yalidumu; kwa sababu iliamini moyoni mwake kwamba yale ndiyo yalikuwa mapenzi
ya (Yohana 15:16; 1 Wathesalonike3:5,8). Katika tathimini ya kazi iliyofanywa,
aligundua kwa kuvunjika moyo, kwamba wengi wa wachungaji wenyeji wake hawakuwa
wamechukua hatua madhubuti kuwafuatilia waamini wapya. Kwa namna flani
walichukulia mikutano ya miujiza ya uponyaji, kama aina ya burudani tuu. Tena,
baadhi yao walienda likizo mara tu baada ya mikutano. Tathimini hii ilimfanya
Kakobe kuutafuta uso wa Mungu kisawasawa, na kumuuliza kama aendelee na
mwelekeo huo, au vinginevyo. Baada ya kuomba kwa takribani mwezi mmoja na nusu,
Bwana alimueleleza wazi wazi kuanzisha Kanisa, Full Gospel Bible Fellowship; ili aweze kuenda na kuleta matunda,
na kuhakikisha kwamba matunda yanadumu.
Katikati
ya mwezi wa Nne 1989, aliwakusanya
waumini vijana 13 na kuweka kambi nyumbani kwake Kijitonyama, Dar-Es-Salaam; kwa
wiki mbili za kozi ya usomaji wa kina wa Biblia. Baada ya hapo, Jumapili ya
tarehe 30, mwezi wa Nne, 1989, alianzisha huduma yake ya Kanisa akiwa na
waumini 13, katika shule ya msingi ya Jamhuri, eneo la Mnazi Mmoja,
Dar-Es-Salaam. Hivyo Neno la Bwana aliloambiwa Kakobe likatimilika. Sasa Kakobe
alikuwa mchungaji, na mengi yalikuwa yanakuja! Akilini mwake akiwa pia na
mafundisho ya wachungaji, miezi michache baadae, alianzisha darasa lake la
Biblia kuelekea wito asili.
Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Dar es
Salaam, Tanzania.
Toka
katika mwanzo huo duni , hadi sasa, Kakobe anachunga kanisa Kubwa sana
Dar-Es-Salaam, ambalo ni kanisa mama na amewafundisha yeye mwenyewe na kuwatuma
kwenye mashamba ya Bwana zaidi ya wachungaji 700.Jumapili, tarehe 7 Machi,
1993; aliwatawadha kundi la kwanza la wachungaji 28 (Wachungaji 19 na
Wachungaji Wasaidizi 9); na kuwapa mamlaka ya kufungua makanisa tanzu ya kwanza
19 (au makanisa mtoto), katika makao makuu ya mikoa yote 19 iliyokuwepo
Tanzania bara enzi hizo; na Februari 2000, Kakobe tayari Kakobe alikuwa amesha
anzisha zaidi ya Makanisa tanzu 400 (au Makanisa mtoo) yaliyo tapakaa mikoa na
wilaya zote za Tanzania bara.
Kanisa La Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Dar es
Salaam; Huduma ya Ibada ya Jumapili.
Nini
siri ya kazi hii nzuri?Ishara na maajabu ndani ya huduma ya Kakobe, bila ya
shaka imefanya kazi kubwa katika kushusha vifungo vizito na kuondoa vitu vyote
vikubwa vinapingana na elimu ya Mungu, Tanzania; ardhi yenye asilimia nzuri ya
waislamu. Kwa maneno yake mwenyewe, Askofu Kakobe anaelezea,"Mshindi wa roho,
ni mvuvi wa wanadamu (Mathayo 4:18-19). Sisi ni wavuvi wa wanadamu. Katika
uvuvi, mvuvi atatumia chambo, kufunika chembe na ncha za ndoano.Wavuvi hutumia wadudu,
au dagaa, kama chambo, itakayovutia samaki. Wakati samaki anaposhawishika
kwenda kugh’ata chambo, anajifuma mwenyewe kwenye ndoano ambayo imeshikizwa
kwenye uzi wa ufito wa kuvulia samaki na hivyo hunaswa na mvuvi. Mvuvi hawezi
kutumia ndoano isiyo na chambo na ategee matoke yanayovutia. Samaki wataikimbia
ndoano isiyo na chambo. Kwa namna ile ile, Injilini kali kuliko upanga wenye
makali kote kote. Ni kama ndoano. Mvuvi wa watu anaweza kukamata watu kirahisi
kama atatumia “chambo samaki” au “chambo watu” ukipenda, kwenye “ndoano ya
uinjilisti”, kuwavutia wasioamini
kusikia na kuiamini Injili.
Kanisa La Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Dar es
Salaam; Huduma ya Ibada ya Jumapili.
Kwa kutumia misingi hii, Kakobe
kaendesha mamia ya mikutano ya Miujiza ya Uponyaji ya kanisani na maeneo ya
wazi nchini mwake tangu aanzishe Kanisa lake;
na mikutano hii imechangia sana kwenye
mafanikio ya Usimikaji wa Kanisa. Kwa mfano, mwaka 2007 pekee, alifanya jumla
ya Mikutano ya wazi ya Miujiza ya Uponyaji katika miji na vijiji tofauti
tofauti 211; vilivyo tapakaa mikoa na wilaya zote za Tanzania bara, katika mda
wa siku 256 tuu; kuanzia Januari 2007 katika Kijiji cha Mlali, Morogoro
Vijijini; na kuhitimisha Septemba 17, 2007 katika kijiji cha Ngerengere, huko
huko Morogoro Vijijini. Katika baadhi ya siku hizi, alifanya mikutano mitatu
kwa siku, katika miji au vijiji vitatu tofauti, mkutano mmoja asubuhi,
unaofuata mchana, na wa mwisho jioni; na katika baadhi ya siku alifanya
mikutano miwili katika miji au vijiji viwili tofauti, kila siku.
Yote
kwa yote, ndani ya muda huo wa siku 256, alifanya mikutano mitatu kila siku wa
siku 10, mikutano miwili kila siku kwa siku 53 na mkutano mmoja kwa siku kwa
siku 75. Hivyo idadi ya “Siku za Mikutano” kama ukipenda, ilikuwa 138 tuu na
siku zilizobaki zilitumika kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, na pia
kuchunga kanisa mama, jijini Dar-Es-Salaam. Alifanya mikutano hii si tu katika
miji na majiji makubwa, lakini pia katika vijiji vya ndani ndani nchini kote ambako
hakukuwa kufanyika mkutano wa injili.Kutoka kijiji cha Mahurunga, wilaya ya
Mtwara vijijini Kusini-Mashariki, karibu na mpaka wa Tanzania na Msumbiji
(Julai 28, 2007), hadi kijiji cha Wampembe wilaya ya Nkasi upande wa
Kusini-Magharibi, katika fukwe za Ziwa Tanganyika (Mei 28, 2007); na kutoka Bwisya,
katika kisiwa cha Ukara upande wa Kaskazini-Magharibi (Mei 12, 2007); hadi
kijiji cha Duga Maforoni upande wa Kaskazini-Mashariki, karibu na Horohoro, mpakana
mwa Tanzania na Kenya (Agosti 16, 2007) na kutoka kijiji cha Kabanga Magharibi
mpakani mwa Tanzania na Burundi (Mei 16, 2007); hadi Kilindoni, kisiwa cha
Mafia upande wa Mashariki (Juni 28, 2007), na kutoka kijiji cha Njani Marikanda
wilayani Arumeru (Machi 26, 2007) na Loliondo (Machi 30, 2007), zote upande wa Kaskazini; hadi kijiji cha Mpwayungu
Wilayani Chamwino, katika ukanda wa kati(Machi 12, 2007); na Tunduru, upande wa
Kusini (Julai 30, 2007).
Baada
ya kuweka wazi siri zilizomwezesha Kakobe Kusimika huduma yake ya Kanisa, sasa
tuende hatua moja mbele. Baada ya kutawaza kundi la jingine la Wachungaji, Jumapili ya Januari 30, 2000;
Kakobe alikuwa ametawaliwa na nia ya kufungua makanisa tanzu (mtoto) katika
Nchi zingine duniani. Lakini, kabla ya kuendelea, aliamua kumuuliza Bwana kama
nia yake ilikuwa sambamba na mapenzi ya Bwana kwenye huduma yake kwa wakati
ule.
Baada ya kuomba kikamilifu, Bwana alimueleza wazi wazi kutofanya hivyo. Alimkumbusha wito wake kuhubiri injili kwa makundi makubwa ya watu, katika matifa mengi duniani, kwa ishara na maajabu makuu. Pia alikumbushwa kwamba, wakati anatonywa mwaka 1982, kazi hiyo ilipaswa kutekelezwa “miaka ya baadae” katika huduma yake.Bwana pia alimpa mpango mkakati wa utekelezaji wa kazi hiyo. Alisema kwamba, atakapo kwenda kuhubiri kwa Mataifa, atakuwa anafanya kazi kwa kushirikiana na Global Body of Christ; akiwezesha, akitayarisha na kutegemeza makanisa asilia (local) kutimiza majukumu yake. Pamoja na hayo, Bwana alisema kwamba lazima apitie katika mafunzo makali mpaka miaka ya baadae; atakapoachiliwa kiujumla kufanya huduma ya namna hiyo. Alimwambia kwamba kabla ya wakati huo, ataendelewa kuachiliwa kwa nyakati kuhudumu kimataifa, na kisha kurudi kwenye mafunzo; mpaka muda ulioteuliwa.Bwana alihitimisha kwa kumsihi kukumbuka daima kwamba, kwenye utumishi inaamuliwa, kwamba mteule awe mwaminifu daima.
Jibu
hili kwa maombi yake, lilimfanya Kakobe akumbuke kilichotokea miaka kadhaa
nyuma, ya kwamba, mwaka 1996 baada ya Mkutano wake wa kwanza wa kimataifa wa
Miujiza ya Uponyaji katika Jiji la Pune, nchini India; na mda mfupi kabla ya
jibu la maombi yake, ambayo in mwaka 1999, baada ya Mkutano wa Miujiza ya
Uponyaji katika Jiji la Kandy, Sri Lanka; na katika makazi duni ya Mathare jijini Nairobi, nchini Kenya. Idadi kubwa ya
kumpokea Yesu na ishara na maajabu halisi yasiyo idadi na yenye kustajabisha
katika mikutano hiyo, viliacha alama katika historia ya Mikutano ya Miujiza ya
Uponyaji katika majiji hayo. Matukeo yake, kila moja ya Mikutano hii ilifungua
milango mingi ya kuhudumu Kimataifa, lakini Kakobe, alipomuuliza Bwana juu ya
kuendelea mbele, Roho hakumruhusu (Matendo ya Mitume 16:6-7).Sasa ilikuwa
imedhihirika wazi kwamba, wakati ulioamuliwa , ulikuwa haujawadia. Kakobe
alikuwa bado yuko msitu wa giza, akiandaliwa na kufundishwa na Mungu, katika
nchi yake asilia, Tanzania, na hata Mikutano michache ya Kimataifa ya Miujiza
ya Uponyaji iliyo ruhusiwa, ilikuwa pia, sehemu ya mafunzo
Tangu
mwaka 2000, wakati Askofu Kakoba alipopokea toka kwa Bwana, miongozo kwa
kuhudumu kwake Kimataia, Mungu ameendelea kumuachia mara kadhaa kuhudumu
kimataifa, lakini matokeo ya Mikutano yake ya Kimataifa ya Miujiza ya Uponyaji,
yamekuwa makubwa.Mwaka 2006; Mkutano ya wake wa Miujiza ya Uponyaji nchini
Korea iliwashangaza waandaji wa mkutano, the
Korea Revival Mission. Walisema, “Hatujawahi kuona kitu kama hiki kabla”
Mwaka 2008; kwa siku sita tuu, huduma yake iliitikisha nchi nzima ya Burundi;
na kila sehemu, mazungumzo yalikuwa ni kuhusu Yesu Kristo! Vivyohivyo, mwezi wa
tano mwaka 2010, Mkutano wake wa kihistoria wa Miujiza ya Uponyaji katika Jiji
la Lubumbashi, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ililishika Jiji zima na
miji ya jirani, na Yesu Kristo alikuwa hai na halisi kwa wenye mashaka.Sawia,
Agosti 2010, Mkutano wake wa siku tano wa Miujiza ya Uponyaji huko Lusaka,
nchini Zambia, pia ilimfanya Yesu Kristo kuwa gumzo la Jiji na nchi nzima kwa
ujumla.
Askofu Kakobe na Mkewe, Hellen
|
Na sasa, hatimaye! Habari za faraja
zilizosubiriwakwa mda mrefu zimewasili!Hatimaye wakati ulioamuliwa umetimia!
Ilianza mwaka 2010, kwa Uongozi wa Roho Mtakatifu, wakati Bishop Zachary Kakobe International Ministries ilisajiriwa nchini
Marekani. Kisha baada ya kukaa katika maombi marefu tarehe 16 mwezi wan ne,
2012; miaka 30 baada ya wito wake kuhuduma, Askofu Kakobe hatimaye alitamka,
" Kwa Neema ya Mungu, Leo, Nimeruhusiwa kabisa na Roho Mtakatifu Kuhudumu
Kimataifa. Miaka ya baadae sasa imewadia!"Ndio! Askofu Zakaria Kakobe yuko
hapa, akimtumikia Bwana wa Mavuno kama chombo cha ufufuo kwa Mataifa. Nia yake
kubwa ni kuja Jijini kwako Duniani kwa kazi moja tu; kuliinua Jina la Yesu juu,
na juu zaidi! Kwa Mungu, na Baba yetu, utukufu una yeye milele na milele, Amina
(Wagalatia 1:4-5).
Askofu
Zakaria Kakobe ni mme wa mke mmoja, Hellen. Walioana Desemba 11, 1979; na kwa
pamoja wana watoto wanne.

BWANA YESU asifiwe
Mwana Maisha ya ushindi mwenzangu. Kuanzia leo nakuletea Historia ya
kuvutia sana ya huduma ya Askofu Mkuu wa FGBF Zacharia Kakobe, Nimependa
sana kukushirikisha na wewe maana kihuduma kanisa hilo mwaka huu
wameadhimisha miaka 25 ya huduma tangu lianzishwe Mwaka 1989, usikose
hapa hapa hapa Maisha ya ushindi blog.
Karibu san
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin
BWANA YESU asifiwe
Mwana Maisha ya ushindi mwenzangu. Kuanzia leo nakuletea Historia ya
kuvutia sana ya huduma ya Askofu Mkuu wa FGBF Zacharia Kakobe, Nimependa
sana kukushirikisha na wewe maana kihuduma kanisa hilo mwaka huu
wameadhimisha miaka 25 ya huduma tangu lianzishwe Mwaka 1989, usikose
hapa hapa hapa Maisha ya ushindi blog.
Karibu sana
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin
BWANA YESU asifiwe
Mwana Maisha ya ushindi mwenzangu. Kuanzia leo nakuletea Historia ya
kuvutia sana ya huduma ya Askofu Mkuu wa FGBF Zacharia Kakobe, Nimependa
sana kukushirikisha na wewe maana kihuduma kanisa hilo mwaka huu
wameadhimisha miaka 25 ya huduma tangu lianzishwe Mwaka 1989, usikose
hapa hapa hapa Maisha ya ushindi blog.
Karibu san
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin

Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin
BWANA YESU asifiwe
Mwana Maisha ya ushindi mwenzangu. Kuanzia leo nakuletea Historia ya
kuvutia sana ya huduma ya Askofu Mkuu wa FGBF Zacharia Kakobe, Nimependa
sana kukushirikisha na wewe maana kihuduma kanisa hilo mwaka huu
wameadhimisha miaka 25 ya huduma tangu lianzishwe Mwaka 1989, usikose
hapa hapa hapa Maisha ya ushindi blog.
Karibu san
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin

BWANA YESU asifiwe
Mwana Maisha ya ushindi mwenzangu. Kuanzia leo nakuletea Historia ya
kuvutia sana ya huduma ya Askofu Mkuu wa FGBF Zacharia Kakobe, Nimependa
sana kukushirikisha na wewe maana kihuduma kanisa hilo mwaka huu
wameadhimisha miaka 25 ya huduma tangu lianzishwe Mwaka 1989, usikose
hapa hapa hapa Maisha ya ushindi blog.
Karibu sana
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin
Baada ya kuomba kikamilifu, Bwana alimueleza wazi wazi kutofanya hivyo. Alimkumbusha wito wake kuhubiri injili kwa makundi makubwa ya watu, katika matifa mengi duniani, kwa ishara na maajabu makuu. Pia alikumbushwa kwamba, wakati anatonywa mwaka 1982, kazi hiyo ilipaswa kutekelezwa “miaka ya baadae” katika huduma yake.Bwana pia alimpa mpango mkakati wa utekelezaji wa kazi hiyo. Alisema kwamba, atakapo kwenda kuhubiri kwa Mataifa, atakuwa anafanya kazi kwa kushirikiana na Global Body of Christ; akiwezesha, akitayarisha na kutegemeza makanisa asilia (local) kutimiza majukumu yake. Pamoja na hayo, Bwana alisema kwamba lazima apitie katika mafunzo makali mpaka miaka ya baadae; atakapoachiliwa kiujumla kufanya huduma ya namna hiyo. Alimwambia kwamba kabla ya wakati huo, ataendelewa kuachiliwa kwa nyakati kuhudumu kimataifa, na kisha kurudi kwenye mafunzo; mpaka muda ulioteuliwa.Bwana alihitimisha kwa kumsihi kukumbuka daima kwamba, kwenye utumishi inaamuliwa, kwamba mteule awe mwaminifu daima.
Copy n Win at: http://bit.ly/copyandwin
Muujiza
wa pili ulitokea katika mkutano niliufanya katika kijiji cha Chalinze, mkoani
Pwani, mwishoni mwa mwezi Januari 1989; ulikuwa umefadhiliwa na Elim Pentecostal Church. Hapo, pia
wanakijiji walikuwa wagumu kuingia kwenye mkutano kwa sababu hawakuamini katika
miujiza. Katika siku ya kwanza ya mkutano, walikuwepo watu wachache sana
mkutanoni. Wengi wa waliohudhulia, walikuja katika makundi, wakiambatana na
mwanamke aliyekuwa bubu wa aina yake.Si tuu kwamba hakuweza kuongea hata neno
moja kwa miaka mitatu, lakini pia kwa kipindi chote hicho, aliwika kama jogoo
kila baada ya masaa matatu hadi manne. Kila mwanakijiji alimjua mama huyo kwa
sababu ya aina yake ya kipekee ya ububu. Sayansi ya kitabibu haikuweza kuelezea
kivipi mwanadamu angeweza kuwika kama jogoo! Watu waliniambia, “Mhubiri, kama
maombi kwa Jina la Yesu yanaweza kumfanya mama huyu aongee, na kuacha kuwika,
basi tutaamini mahubiri yako na kumfuata Yesu wako.”
Nikawaambia,
“Nendeni mitaani mkawaalike watu wengi kadri muwezavyo, waje waone muujiza huu.
Baada ya ombi fupi, ataongea kama kawaida, na kuwika kutamtoka.” Walikwenda
mitaani na bila kitambo kupita hata kidogo, viwanja vilifulika mamia ya watu
waliokuwa na shauku ya kuuona muujiza. Unajua nini! Baada ya ombi fupi, mama
aliongea kawaida, na hapakuwa na kuwika tena. Masaa manne yalipita, na hapakuwa
na dalili za kuwika. Wakamuangalia tena usiku wote na kwamshangao wa kila mtu,
kuwika kulikuwa historia! Siku iliyofuata, karibu kijiji kizima, kilivutwa
kweye viwanja vya mkutano, na mamia ya watu wakayakabidhi maisha yao kwa Yesu.
Hii iliendelea kila siku, hadi siku ya mwisho ya mkutano; na muujiza huu pia
uligeuka kuwa mada ya kijiji kwa miaka kadhaa baada ya mkutano.
Mkutano
wa mwisho wa Kakobe, kati ya ile kumi, ulifanyika Kanisa la Pentekeste
Kijitonyama Dar es Salaam. Hiyo ilikuwa ni mwishoni mwa mwezi wa Pili, mwaka
1989. Baada ya mkutano huu, alitenga muda kuwasiliana na wachungaji wenyeji
wake katika mikutano yote kumi , ili kujua kama, kama ufuatiliaji mzito wa kina
unahijika kwa waamini wote wapya walioamua kumfuata Yesu, katika mikutano hii,
na kama imefanywa kisawasawa baada ya mikutano. Nia yake, tangu mwanzo, haikuwa
tuu kuleta matunda katika mikutano, lakini kuhakisha kwamba matunda yake
yalidumu; kwa sababu iliamini moyoni mwake kwamba yale ndiyo yalikuwa mapenzi
ya (Yohana 15:16; 1 Wathesalonike3:5,8). Katika tathimini ya kazi iliyofanywa,
aligundua kwa kuvunjika moyo, kwamba wengi wa wachungaji wenyeji wake hawakuwa
wamechukua hatua madhubuti kuwafuatilia waamini wapya. Kwa namna flani
walichukulia mikutano ya miujiza ya uponyaji, kama aina ya burudani tuu. Tena,
baadhi yao walienda likizo mara tu baada ya mikutano. Tathimini hii ilimfanya
Kakobe kuutafuta uso wa Mungu kisawasawa, na kumuuliza kama aendelee na
mwelekeo huo, au vinginevyo. Baada ya kuomba kwa takribani mwezi mmoja na nusu,
Bwana alimueleleza wazi wazi kuanzisha Kanisa, Full Gospel Bible Fellowship; ili aweze kuenda na kuleta matunda,
na kuhakikisha kwamba matunda yanadumu.
Katikati
ya mwezi wa Nne 1989, aliwakusanya
waumini vijana 13 na kuweka kambi nyumbani kwake Kijitonyama, Dar-Es-Salaam; kwa
wiki mbili za kozi ya usomaji wa kina wa Biblia. Baada ya hapo, Jumapili ya
tarehe 30, mwezi wa Nne, 1989, alianzisha huduma yake ya Kanisa akiwa na
waumini 13, katika shule ya msingi ya Jamhuri, eneo la Mnazi Mmoja,
Dar-Es-Salaam. Hivyo Neno la Bwana aliloambiwa Kakobe likatimilika. Sasa Kakobe
alikuwa mchungaji, na mengi yalikuwa yanakuja! Akilini mwake akiwa pia na
mafundisho ya wachungaji, miezi michache baadae, alianzisha darasa lake la
Biblia kuelekea wito asili.
Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Dar es
Salaam, Tanzania.
Toka
katika mwanzo huo duni , hadi sasa, Kakobe anachunga kanisa Kubwa sana
Dar-Es-Salaam, ambalo ni kanisa mama na amewafundisha yeye mwenyewe na kuwatuma
kwenye mashamba ya Bwana zaidi ya wachungaji 700.Jumapili, tarehe 7 Machi,
1993; aliwatawadha kundi la kwanza la wachungaji 28 (Wachungaji 19 na
Wachungaji Wasaidizi 9); na kuwapa mamlaka ya kufungua makanisa tanzu ya kwanza
19 (au makanisa mtoto), katika makao makuu ya mikoa yote 19 iliyokuwepo
Tanzania bara enzi hizo; na Februari 2000, Kakobe tayari Kakobe alikuwa amesha
anzisha zaidi ya Makanisa tanzu 400 (au Makanisa mtoo) yaliyo tapakaa mikoa na
wilaya zote za Tanzania bara.
Kanisa La Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Dar es
Salaam; Huduma ya Ibada ya Jumapili.
Nini
siri ya kazi hii nzuri?Ishara na maajabu ndani ya huduma ya Kakobe, bila ya
shaka imefanya kazi kubwa katika kushusha vifungo vizito na kuondoa vitu vyote
vikubwa vinapingana na elimu ya Mungu, Tanzania; ardhi yenye asilimia nzuri ya
waislamu. Kwa maneno yake mwenyewe, Askofu Kakobe anaelezea,"Mshindi wa roho,
ni mvuvi wa wanadamu (Mathayo 4:18-19). Sisi ni wavuvi wa wanadamu. Katika
uvuvi, mvuvi atatumia chambo, kufunika chembe na ncha za ndoano.Wavuvi hutumia wadudu,
au dagaa, kama chambo, itakayovutia samaki. Wakati samaki anaposhawishika
kwenda kugh’ata chambo, anajifuma mwenyewe kwenye ndoano ambayo imeshikizwa
kwenye uzi wa ufito wa kuvulia samaki na hivyo hunaswa na mvuvi. Mvuvi hawezi
kutumia ndoano isiyo na chambo na ategee matoke yanayovutia. Samaki wataikimbia
ndoano isiyo na chambo. Kwa namna ile ile, Injilini kali kuliko upanga wenye
makali kote kote. Ni kama ndoano. Mvuvi wa watu anaweza kukamata watu kirahisi
kama atatumia “chambo samaki” au “chambo watu” ukipenda, kwenye “ndoano ya
uinjilisti”, kuwavutia wasioamini
kusikia na kuiamini Injili.
Kanisa La Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Dar es
Salaam; Huduma ya Ibada ya Jumapili.
Kwa kutumia misingi hii, Kakobe
kaendesha mamia ya mikutano ya Miujiza ya Uponyaji ya kanisani na maeneo ya
wazi nchini mwake tangu aanzishe Kanisa lake;
na mikutano hii imechangia sana kwenye
mafanikio ya Usimikaji wa Kanisa. Kwa mfano, mwaka 2007 pekee, alifanya jumla
ya Mikutano ya wazi ya Miujiza ya Uponyaji katika miji na vijiji tofauti
tofauti 211; vilivyo tapakaa mikoa na wilaya zote za Tanzania bara, katika mda
wa siku 256 tuu; kuanzia Januari 2007 katika Kijiji cha Mlali, Morogoro
Vijijini; na kuhitimisha Septemba 17, 2007 katika kijiji cha Ngerengere, huko
huko Morogoro Vijijini. Katika baadhi ya siku hizi, alifanya mikutano mitatu
kwa siku, katika miji au vijiji vitatu tofauti, mkutano mmoja asubuhi,
unaofuata mchana, na wa mwisho jioni; na katika baadhi ya siku alifanya
mikutano miwili katika miji au vijiji viwili tofauti, kila siku.
Yote
kwa yote, ndani ya muda huo wa siku 256, alifanya mikutano mitatu kila siku wa
siku 10, mikutano miwili kila siku kwa siku 53 na mkutano mmoja kwa siku kwa
siku 75. Hivyo idadi ya “Siku za Mikutano” kama ukipenda, ilikuwa 138 tuu na
siku zilizobaki zilitumika kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, na pia
kuchunga kanisa mama, jijini Dar-Es-Salaam. Alifanya mikutano hii si tu katika
miji na majiji makubwa, lakini pia katika vijiji vya ndani ndani nchini kote ambako
hakukuwa kufanyika mkutano wa injili.Kutoka kijiji cha Mahurunga, wilaya ya
Mtwara vijijini Kusini-Mashariki, karibu na mpaka wa Tanzania na Msumbiji
(Julai 28, 2007), hadi kijiji cha Wampembe wilaya ya Nkasi upande wa
Kusini-Magharibi, katika fukwe za Ziwa Tanganyika (Mei 28, 2007); na kutoka Bwisya,
katika kisiwa cha Ukara upande wa Kaskazini-Magharibi (Mei 12, 2007); hadi
kijiji cha Duga Maforoni upande wa Kaskazini-Mashariki, karibu na Horohoro, mpakana
mwa Tanzania na Kenya (Agosti 16, 2007) na kutoka kijiji cha Kabanga Magharibi
mpakani mwa Tanzania na Burundi (Mei 16, 2007); hadi Kilindoni, kisiwa cha
Mafia upande wa Mashariki (Juni 28, 2007), na kutoka kijiji cha Njani Marikanda
wilayani Arumeru (Machi 26, 2007) na Loliondo (Machi 30, 2007), zote upande wa Kaskazini; hadi kijiji cha Mpwayungu
Wilayani Chamwino, katika ukanda wa kati(Machi 12, 2007); na Tunduru, upande wa
Kusini (Julai 30, 2007).
Baada
ya kuweka wazi siri zilizomwezesha Kakobe Kusimika huduma yake ya Kanisa, sasa
tuende hatua moja mbele. Baada ya kutawaza kundi la jingine la Wachungaji, Jumapili ya Januari 30, 2000;
Kakobe alikuwa ametawaliwa na nia ya kufungua makanisa tanzu (mtoto) katika
Nchi zingine duniani. Lakini, kabla ya kuendelea, aliamua kumuuliza Bwana kama
nia yake ilikuwa sambamba na mapenzi ya Bwana kwenye huduma yake kwa wakati
ule.
Baada ya kuomba kikamilifu, Bwana alimueleza wazi wazi kutofanya hivyo. Alimkumbusha wito wake kuhubiri injili kwa makundi makubwa ya watu, katika matifa mengi duniani, kwa ishara na maajabu makuu. Pia alikumbushwa kwamba, wakati anatonywa mwaka 1982, kazi hiyo ilipaswa kutekelezwa “miaka ya baadae” katika huduma yake.Bwana pia alimpa mpango mkakati wa utekelezaji wa kazi hiyo. Alisema kwamba, atakapo kwenda kuhubiri kwa Mataifa, atakuwa anafanya kazi kwa kushirikiana na Global Body of Christ; akiwezesha, akitayarisha na kutegemeza makanisa asilia (local) kutimiza majukumu yake. Pamoja na hayo, Bwana alisema kwamba lazima apitie katika mafunzo makali mpaka miaka ya baadae; atakapoachiliwa kiujumla kufanya huduma ya namna hiyo. Alimwambia kwamba kabla ya wakati huo, ataendelewa kuachiliwa kwa nyakati kuhudumu kimataifa, na kisha kurudi kwenye mafunzo; mpaka muda ulioteuliwa.Bwana alihitimisha kwa kumsihi kukumbuka daima kwamba, kwenye utumishi inaamuliwa, kwamba mteule awe mwaminifu daima.
Jibu
hili kwa maombi yake, lilimfanya Kakobe akumbuke kilichotokea miaka kadhaa
nyuma, ya kwamba, mwaka 1996 baada ya Mkutano wake wa kwanza wa kimataifa wa
Miujiza ya Uponyaji katika Jiji la Pune, nchini India; na mda mfupi kabla ya
jibu la maombi yake, ambayo in mwaka 1999, baada ya Mkutano wa Miujiza ya
Uponyaji katika Jiji la Kandy, Sri Lanka; na katika makazi duni ya Mathare jijini Nairobi, nchini Kenya. Idadi kubwa ya
kumpokea Yesu na ishara na maajabu halisi yasiyo idadi na yenye kustajabisha
katika mikutano hiyo, viliacha alama katika historia ya Mikutano ya Miujiza ya
Uponyaji katika majiji hayo. Matukeo yake, kila moja ya Mikutano hii ilifungua
milango mingi ya kuhudumu Kimataifa, lakini Kakobe, alipomuuliza Bwana juu ya
kuendelea mbele, Roho hakumruhusu (Matendo ya Mitume 16:6-7).Sasa ilikuwa
imedhihirika wazi kwamba, wakati ulioamuliwa , ulikuwa haujawadia. Kakobe
alikuwa bado yuko msitu wa giza, akiandaliwa na kufundishwa na Mungu, katika
nchi yake asilia, Tanzania, na hata Mikutano michache ya Kimataifa ya Miujiza
ya Uponyaji iliyo ruhusiwa, ilikuwa pia, sehemu ya mafunzo
Tangu
mwaka 2000, wakati Askofu Kakoba alipopokea toka kwa Bwana, miongozo kwa
kuhudumu kwake Kimataia, Mungu ameendelea kumuachia mara kadhaa kuhudumu
kimataifa, lakini matokeo ya Mikutano yake ya Kimataifa ya Miujiza ya Uponyaji,
yamekuwa makubwa.Mwaka 2006; Mkutano ya wake wa Miujiza ya Uponyaji nchini
Korea iliwashangaza waandaji wa mkutano, the
Korea Revival Mission. Walisema, “Hatujawahi kuona kitu kama hiki kabla”
Mwaka 2008; kwa siku sita tuu, huduma yake iliitikisha nchi nzima ya Burundi;
na kila sehemu, mazungumzo yalikuwa ni kuhusu Yesu Kristo! Vivyohivyo, mwezi wa
tano mwaka 2010, Mkutano wake wa kihistoria wa Miujiza ya Uponyaji katika Jiji
la Lubumbashi, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ililishika Jiji zima na
miji ya jirani, na Yesu Kristo alikuwa hai na halisi kwa wenye mashaka.Sawia,
Agosti 2010, Mkutano wake wa siku tano wa Miujiza ya Uponyaji huko Lusaka,
nchini Zambia, pia ilimfanya Yesu Kristo kuwa gumzo la Jiji na nchi nzima kwa
ujumla.
Askofu Kakobe na Mkewe, Hellen
|
Na sasa, hatimaye! Habari za faraja
zilizosubiriwakwa mda mrefu zimewasili!Hatimaye wakati ulioamuliwa umetimia!
Ilianza mwaka 2010, kwa Uongozi wa Roho Mtakatifu, wakati Bishop Zachary Kakobe International Ministries ilisajiriwa nchini
Marekani. Kisha baada ya kukaa katika maombi marefu tarehe 16 mwezi wan ne,
2012; miaka 30 baada ya wito wake kuhuduma, Askofu Kakobe hatimaye alitamka,
" Kwa Neema ya Mungu, Leo, Nimeruhusiwa kabisa na Roho Mtakatifu Kuhudumu
Kimataifa. Miaka ya baadae sasa imewadia!"Ndio! Askofu Zakaria Kakobe yuko
hapa, akimtumikia Bwana wa Mavuno kama chombo cha ufufuo kwa Mataifa. Nia yake
kubwa ni kuja Jijini kwako Duniani kwa kazi moja tu; kuliinua Jina la Yesu juu,
na juu zaidi! Kwa Mungu, na Baba yetu, utukufu una yeye milele na milele, Amina
(Wagalatia 1:4-5).
Askofu
Zakaria Kakobe ni mme wa mke mmoja, Hellen. Walioana Desemba 11, 1979; na kwa
pamoja wana watoto wanne.
Comments