Kevin
Harris, msemaji wa Bahamas Faith Ministries iliyoanzishwa na Munroe,
alithibitishia gazeti Christian Post Jumatatu kwamba Winans atashiriki
katika mazishi ya wanandoa hao Alhamisi, Desemba 4.
Harris alieleza kuwa mazishi yatakuwa yakiserikali kwa kuwa inatambua mchango wa Munroe kwa taifa na kisiwa hicho.
Kulingana na Serikali ya Bahamas ,
mazishi yanayotambuliwa na serikali ni kutoka kwa wabunge, (Seneti),
kuwahudumia makatibu wakuu na viongozi wengine wa ngazi za juu wa umma
au raia.
msaada
kutoka serikali utakuja katika mfumo wa matangazo ya moja kupitia redio
pamoja na mahudhurio ya wawakilishi wa serikali. mazishi yatakuwa wazi
kwa umma.
Harris
alieleza kuwa mazishi yatakuwa kesho Alhamisi yakitanguliwa na ratiba
ya shughuli ya Jumatano, Desemba 3, wakati miili ya Munroe na mke wake
itabaki katika mapumziko katika Bahamas Faith Ministries Diplomat Center
10:00-5:00
Kuanzia
saa 4 asubuhi hadi saa sita mchana wanachama wa familia Munroe na
viongozi waandamizi wa serikali watatoa heshima zao katika hafla binafsi
wakati umma kwa ujumla wataruhusiwa kusaini kitabu cha rambirambi
kuanzia saa sita mchana mpaka 05:00
kumbukumbu
ya kitaifa itaanza saa moja baadaye katika Thomas A. Robinson Uwanja
Oaks Field Sporting Complex katika Nassau, Bahamas na itaendelea mpaka
11:00
Comments