Kevin 
Harris, msemaji wa Bahamas Faith Ministries iliyoanzishwa na Munroe, 
alithibitishia gazeti Christian Post Jumatatu kwamba Winans atashiriki 
katika mazishi ya wanandoa hao Alhamisi, Desemba 4.
Harris alieleza kuwa mazishi yatakuwa yakiserikali kwa kuwa inatambua mchango wa Munroe kwa taifa na kisiwa hicho.
Kulingana na Serikali ya Bahamas ,
  mazishi yanayotambuliwa na  serikali  ni kutoka kwa wabunge, (Seneti),
 kuwahudumia makatibu wakuu na viongozi wengine wa ngazi za juu wa umma 
au raia. 
msaada 
kutoka serikali utakuja katika mfumo wa matangazo ya moja kupitia redio 
pamoja na mahudhurio ya wawakilishi wa serikali. mazishi yatakuwa wazi 
kwa umma.
Harris 
alieleza kuwa mazishi yatakuwa kesho Alhamisi  yakitanguliwa na ratiba 
ya shughuli ya Jumatano, Desemba 3, wakati miili ya Munroe na mke wake 
itabaki katika mapumziko katika Bahamas Faith Ministries Diplomat Center
 10:00-5:00
Kuanzia
 saa 4 asubuhi hadi saa sita mchana wanachama wa familia Munroe na 
viongozi waandamizi wa serikali watatoa heshima zao katika hafla binafsi
 wakati umma kwa ujumla wataruhusiwa kusaini kitabu cha rambirambi 
kuanzia saa sita mchana mpaka 05:00
kumbukumbu 
ya kitaifa itaanza saa moja baadaye katika Thomas A. Robinson Uwanja 
Oaks Field Sporting Complex katika Nassau, Bahamas na itaendelea mpaka 
11:00
Comments