TAMASHA LA UPENDO WA WANANDOA KUUNGURUMA IRINGA NA MTUMISHI WA MUNGU MANESA SANGA

Kweli Mungu ni Mungu wa wanyonge, leo hii Manesa Sanga aliyekuwa anauza nyanya mitaani..Mungu ameweza kumuinua hapa alipofikia na sasa kufanya tamasha kwaajili yako wewe uliyekuwa katika ndoa na wewe unayetarajia kuwa katika ndoa. 

Wakazi wa Iringa mmpokee mtumishi huyu wa Mungu...Kuna kitu kitaenda kufanyika katika ulimwengu wa KIROHO.
.Usikose kabisa kufika.


Comments