WAKAMUULIZA SCHOLAR ''UKO TAYARI KUAMBATANA NA MTU HUYU?'' SCHOLAR AKAIBU NDIOO NITAAMBATANA NA PETER MABULA. (Mwanzo 24:58)

''Wakamwita Scholar wakamwuliza, Je! Utakwenda na mtu huyu(Peter?)? Akasema, Nitakwenda.(Mwanzo 24:58.) Tunamshukuru sana MUNGU wa mbinguni: Peter  na Scholar Mabula baada ya kufunga ndoa.
Namshukuru sana MUNGU muumba wa mbingu na nchi maana Tarehe 20 Sept 2014 Nilifunga ndoa.
Mimi Peter  Mabula Na Mke wangu Scholar Mabula tunaendelea vyema sana. 
Katika sherehe hiyo ya kufunga ndoa kulikuwa na matukio mengi sana na hakika ni MUNGU tu maana nilimuona MUNGU katika hali ya ajabu sana. Namshukuru sana BWANA YESU kwa jina lake kuu la ulinzi na uzima.

 leo nakuletea matukio kidogo ya nje ya kanisa na kabla ya ukumbini.  

Matukio ya kanisani nitayaleta siku nyingine na matukio ya sherehe ya usiku nitayaleta siku nyingine pia.

 Mbarikiwe sana na hii ni kwa sababu marafiki zangu wengi sana walioniomba niweke picha hizo za matukio ya harusi yangu. ubarikiwe sana.


Tukijiandaa kwenda kanisani.



Wadogo wa Scholar Mabula.

Namshukuru MUNGU kwa hili.

Tukiwa na Mdogo wangu Mabula Moses

Tukiwa na Mama

Tuko na mama

Tuko na kaka yangu mkubwa Samwel Mabula

Niko na msimamizi wangu Mr Anderson.

Scholar na msimamizi wake mrs Anderson.

Scholar Mabula

Scholar na wadogo  zake.

Tunamshukuru MUNGU wa mbinguni.

Asante YESU kwa ushindi huu.


ka poooozi kakaliiii

Mrs Peter Mabula akiwa na wadogo  zake.

Watoto wadogo pia walikuwepo ili kuchukua upako wa dada yao.

Kila mtu na mke wake , hapa tukijiandaa kwenda ukumbini.

Nimekuchagua wewe uwe wangu wa maisha. Namshukuru MUNGU kwa ajili yako.

Kaka usiache kutuombea.

bwana harusi Peter Mabula akiwa na mashemeji zake.

Comments