BWANA YESU ASIFIWE NDUGU
 ZANGU karibu leo tusifunze kidogo chimbuko la neno la MUNGU. MUNGU 
aliejuu na akubaliki unapoendelea kujifunza pamoja nami.Roho wa BWANA  
atusaidie, karibu.....
 
BIBLIA ni maktaba ya  NENO LA MUNGU iliyosheeni ujumbe na mapenzi ya 
MUNGU kwa wanadamu hiyo ni pumzi ya  ni PUMZI ya MUNGU 2Timothio 
3;16-17.  Biblia ina vitabu sitini na sita vilivyoandikwa na waandishi 
arobaini, kwa muda usiopungua miaka elfu moja mia sita. (1600). Karibu 
Agano la Kale lote liliandikwa kwa lugha ya Kiebrania isipokuwa mafungu 
machache kwenye kitabu cha Danieli,EZRA na yerimia yaliyoandikwa kwa 
lugha ya Kiaramu  Danieli 2:4 sehemu zilizoandikwa katika kiaramu ni 
hizi: Ezra 4:8 – 6:18:7:12 – 26 Danaeli 2:4 – 7:28 Yeremia 10:11 . Agano
 Jipya limeandikwa kwa lugha ya kiyunani na pengine Kigiriki   kwa kuwa 
ilikuwa lugha iliyojulikana kwa karibu na watu wote ingawa katika nchi 
hiyo ya Israel kiaramu kilikuwa ni lugha ya nyumbani zamani za Bwana 
Yesu kristo.  
Waandishi baadhi yao walikuwa wafalme kama Daudi na Sulemani na wengine walikuwa waganga na wataalamu kama Isaya na Luka. Wengine walimu wa dini kama Ezra na Paulo wengine maafisa wakubwa wa Serikali kama Musa, Danieli na Nehemia, wengine wakulima na mafundi Amosi na Yohana , wengine wavuvi kama Petro , wengine watunga muziki kama Asafu na watoto wa Kora wengine manabii kama Ezekiel, Yoeli na kadharika. Wengine kati ya waandishi hawakujuana kabisa, waliishi katika nchi tofauti tofauti wengine palestina (baadhi ya manabii) wengine Babeli kama Danieli na Ezekieli na wengine wakisafiri katika Nchi za mbali Paulo na Mitume wengine na mmoja wapo aliandika akiwa kifungoni katika kisiwa cha Patmo.{Yohana} Kwa kweli Biblia iliandikwa kwa njia ya pekee kuliko vitabu vingine vyote.
Kutokana na kufifia kwa lugha ya kiebrania mpaka kufikia mwaka 200 K.K na lugha hii kusahaulika na wengi na kutotumiwa na wengi ndipo ilibidi Agano la kale litafsiriwe katika lugha za mataifa mengi kama vile Kiaramu, Kisuria, Kigiriki, Kiarabu, Kimisri n.k. SEPTUAGINTI YA KIGIRIKI Mwaka 300 – 200 K.K .
Wataalamu wa Biblia hufanya kazi ya kuchunguza na kuunganisha miaka 
na nyakati ya wafalme wanchi mbalimbali KWA MFANO Luka 3:1 – 2 “Mwaka wa
 kumi na tano wa kutawala kwake kaisari Teberio Pontio Pilato 
alipoalipokuwa liwali wa Uyahudi na Herode Mfalme wa Galilaya na Filipo 
ndugu yake Mfalme wa Itulea na nchi ya Trakoniti Lisania Mfalme wa 
Abilene wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa.Neno la Mungu lilimjia
 Yohana mwana wa Zakaria jangwani.” Hii ni kutokana kwamba kila nchi ina
 hesabu yake yenyewe ya miaka.  Theologia hawakubaliani katika mambo 
yote kuhusu miaka, hivyo katika kutaja miaka tunatumia neno “Kama” kwa 
sababu hakuna anaejua mwaka kamili ila hufanya makisio baada ya kufanya 
utafiti kwa kina. Kalenda tunayotumia sasa iligunduliwa na mtaalamu 
mmoja mtawa anaeitwa Dionysius Exiguus. Warumi walihesabu miaka tangu 
kujengwa kwa Rumi. Miaka kabla ya kuzaliwa kwa Kikristo huhesabiwa kwa 
kurudi nyuma toka kwa Yesu Kristo kurudi nyuma na inaitwa K.K / BC na 
baada ya kuzaliwa kwa Yesu huhesabiwa toka kwa Yesu kwenda mbele na 
inajulikana kama BK/AD  Agano la kale lilitafsiriwa kama lugha ya 
Kigiriki iliitwa Septuaginti. kwa sababu inasemekana ilitafsiriwa na 
watu 70. 
SABABU HIYA HAPA.  MUNGU akitaka kuzungumza na watu 
hatumia lugha wanayoijua wenyewe hatumii lugha ngeni  hutumia lugha 
inayofahamika kwa eneo hilo kwa waliojazwa na roho mtakatifu  nathani 
wananielewa ukisoma Petro ameandika:...... Wanadamu walinena yaliyotoka 
kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. (2PET 1:20-21).hivyo walipata 
ufunuo kwa lugha rahisi waliokuwa wanaifahamu.Kiebrania kilikuwa 
kimeenea na kutambulika mahali pengi ndani ya Islael kipindi cha Agano 
la kale pia katika kipindi cha Agano jipya lugha kama kiaramu kiyunani 
na kigiliki ni lugha ambazo hata YESU ALIZOKUWA AKITUMIA na hata mitume 
wake na alivyopaa agano jipya likaandikwa LUKA 1;1-3 kwa lugha 
niliokunyesha hapo juu.
SIKILIZA ....MUNGU ameleta neno lake 
duniani kwa ajili ya uthamani wako mwanadamu anakupenda zaidi 
unayofikili anakuthamini zaidi ya unavyodhani harakati zote amefanya kwa
 ajili yako amemtuma YESU ili akukomboe aingie na neno la uzima kwako 
ili huishi maisha ya furaha yasiyo ya uzuni kamwe   anakuomba kwa upole 
ndani ya moyo wako tazama niko mlangoni nabisha odi mtu akifungua mlango
 nitaingia kwake na kuka pamoja nae.chagua kuwa na YESU NA UMPINGE 
SHETANI.KARIBU KATIKA MAISHA YA WOKOVU.ONGERA YAKO UNAEENDELEA KUDUMU 
KATIKA IMANI.
UBARIKIWE ULIESOMA UJUMBE HUU MUNGU NA AKUHUDUMIE
SAWASAWA NA ITAJI LAKO
kwa msahada zaidi wa kiroho wasiliana nami
GODFREY MAKOKO
NO 0752508662 au
0782362588
email;g.makoko@yahoo.com au
makokogodfrey@gmail.com
Waandishi baadhi yao walikuwa wafalme kama Daudi na Sulemani na wengine walikuwa waganga na wataalamu kama Isaya na Luka. Wengine walimu wa dini kama Ezra na Paulo wengine maafisa wakubwa wa Serikali kama Musa, Danieli na Nehemia, wengine wakulima na mafundi Amosi na Yohana , wengine wavuvi kama Petro , wengine watunga muziki kama Asafu na watoto wa Kora wengine manabii kama Ezekiel, Yoeli na kadharika. Wengine kati ya waandishi hawakujuana kabisa, waliishi katika nchi tofauti tofauti wengine palestina (baadhi ya manabii) wengine Babeli kama Danieli na Ezekieli na wengine wakisafiri katika Nchi za mbali Paulo na Mitume wengine na mmoja wapo aliandika akiwa kifungoni katika kisiwa cha Patmo.{Yohana} Kwa kweli Biblia iliandikwa kwa njia ya pekee kuliko vitabu vingine vyote.
Kutokana na kufifia kwa lugha ya kiebrania mpaka kufikia mwaka 200 K.K na lugha hii kusahaulika na wengi na kutotumiwa na wengi ndipo ilibidi Agano la kale litafsiriwe katika lugha za mataifa mengi kama vile Kiaramu, Kisuria, Kigiriki, Kiarabu, Kimisri n.k. SEPTUAGINTI YA KIGIRIKI Mwaka 300 – 200 K.K .
Wataalamu wa Biblia hufanya kazi ya kuchunguza na kuunganisha miaka 
na nyakati ya wafalme wanchi mbalimbali KWA MFANO Luka 3:1 – 2 “Mwaka wa
 kumi na tano wa kutawala kwake kaisari Teberio Pontio Pilato 
alipoalipokuwa liwali wa Uyahudi na Herode Mfalme wa Galilaya na Filipo 
ndugu yake Mfalme wa Itulea na nchi ya Trakoniti Lisania Mfalme wa 
Abilene wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa.Neno la Mungu lilimjia
 Yohana mwana wa Zakaria jangwani.” Hii ni kutokana kwamba kila nchi ina
 hesabu yake yenyewe ya miaka.  Theologia hawakubaliani katika mambo 
yote kuhusu miaka, hivyo katika kutaja miaka tunatumia neno “Kama” kwa 
sababu hakuna anaejua mwaka kamili ila hufanya makisio baada ya kufanya 
utafiti kwa kina. Kalenda tunayotumia sasa iligunduliwa na mtaalamu 
mmoja mtawa anaeitwa Dionysius Exiguus. Warumi walihesabu miaka tangu 
kujengwa kwa Rumi. Miaka kabla ya kuzaliwa kwa Kikristo huhesabiwa kwa 
kurudi nyuma toka kwa Yesu Kristo kurudi nyuma na inaitwa K.K / BC na 
baada ya kuzaliwa kwa Yesu huhesabiwa toka kwa Yesu kwenda mbele na 
inajulikana kama BK/AD  Agano la kale lilitafsiriwa kama lugha ya 
Kigiriki iliitwa Septuaginti. kwa sababu inasemekana ilitafsiriwa na 
watu 70. 
SABABU HIYA HAPA.  MUNGU akitaka kuzungumza na watu 
hatumia lugha wanayoijua wenyewe hatumii lugha ngeni  hutumia lugha 
inayofahamika kwa eneo hilo kwa waliojazwa na roho mtakatifu  nathani 
wananielewa ukisoma Petro ameandika:...... Wanadamu walinena yaliyotoka 
kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu. (2PET 1:20-21).hivyo walipata 
ufunuo kwa lugha rahisi waliokuwa wanaifahamu.Kiebrania kilikuwa 
kimeenea na kutambulika mahali pengi ndani ya Islael kipindi cha Agano 
la kale pia katika kipindi cha Agano jipya lugha kama kiaramu kiyunani 
na kigiliki ni lugha ambazo hata YESU ALIZOKUWA AKITUMIA na hata mitume 
wake na alivyopaa agano jipya likaandikwa LUKA 1;1-3 kwa lugha 
niliokunyesha hapo juu.
SIKILIZA ....MUNGU ameleta neno lake 
duniani kwa ajili ya uthamani wako mwanadamu anakupenda zaidi 
unayofikili anakuthamini zaidi ya unavyodhani harakati zote amefanya kwa
 ajili yako amemtuma YESU ili akukomboe aingie na neno la uzima kwako 
ili huishi maisha ya furaha yasiyo ya uzuni kamwe   anakuomba kwa upole 
ndani ya moyo wako tazama niko mlangoni nabisha odi mtu akifungua mlango
 nitaingia kwake na kuka pamoja nae.chagua kuwa na YESU NA UMPINGE 
SHETANI.KARIBU KATIKA MAISHA YA WOKOVU.ONGERA YAKO UNAEENDELEA KUDUMU 
KATIKA IMANI.UBARIKIWE ULIESOMA UJUMBE HUU MUNGU NA AKUHUDUMIE
SAWASAWA NA ITAJI LAKO
kwa msahada zaidi wa kiroho wasiliana nami
GODFREY MAKOKO
NO 0752508662 au
0782362588
email;g.makoko@yahoo.com au
makokogodfrey@gmail.com

Comments