Breaking News: Wito maalum watolewa kwa watu kumuombea Mchungaji Ben Hinn

Wito maalum umetolewa na kituo cha utangazaji cha Faith Broadcasting Network kikiwataka watu wote duniani waungane mara moja katika Kumuombea Mchungaji Ben Hinn ili Mungu apate kumponya mtumishi huyo baada ya kupata tatizo la ghafla la Moyo hali iliyopelekea kukimbizwa maramoja Hospitali na kulazwa kwenye Chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi  maalum yani ICU.

Comments