Mchungaji
nasikia miguu inatetemeka..!!naomba nisaidie nisimame.....nataka
kutembea mwenyewe....nataka kutembea mwenyewe......Roho wa Bwana yu juu
yangu nataka kutembea
Siwezi kuombea wengine mimi nikaendelea kukaa kwenye kiti cha walemavu......bora nife kuliko kukaa hapa...Yesu nimechoka kukaa kwenye hiki kiti nataka kutembea mwenyewe"
Siwezi kuombea wengine mimi nikaendelea kukaa kwenye kiti cha walemavu......bora nife kuliko kukaa hapa...Yesu nimechoka kukaa kwenye hiki kiti nataka kutembea mwenyewe"
![]() |
Maneno
hayo alikua akiyasema Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Tz Dr J
Gwajima wakati kanisa wakiwa wanaomba ndipo alipoamka na kuanza kutembea
tena mwenyewe jana kwa mara ya kwanza katika ibada
Comments