Mh.Freeman Mbowe Aizindua DVD Album ya Flora Mbasha pamoja na Bendi

A23

Mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini Tanzania,Flora Mbasha mwisho wa wiki hii amefanikiwa kufanya uzinduzi wa album yake mpya kabisa na pia kuzindua Bendi ya muziki ambayo ataanza kufanya nayo huduma za kimuziki wa injili kuanzia sasa.
 A31
Mgeni Rasmi katika Uzinduzi huo alikua ni mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh.Freeman Aiakel Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Same mkoani Kilimanjaro.

 A24
Uzinduzi huo uliambatana na burudani ya nyimbo za injili kutoka kwa wanamuziki mbalimbali ambao waliambatana na Flora mbasha katika kuiweka wakfu DVD yake mpya pamoja na Bendi,Miongoni mwa wanamuziki walihudhuria uzinduzi huo ni pamoja na Ambwene Mwasongwe, Upendo Nkonne, Joseph Nyuki, Christopher Mwahangila, Christina Matai, Neema Gasper, na Furaha Isaya. 

Video na Picha za Uzinduzi huo ni kama zinavyoonekana hapa chini kama zilivyopigwa na Uncle Jimmy ambaye alikuwepo eneo la tukio 

A32
Mh.Freeman Mbowe akizungumza jambo wakati akizundua Album hiyo
A1
Mwanamuziki Flora Mbasha  akiwa VIP Hall kabla ya kuingia Ukumbini
A2
Back Vocal au waimbaji wa bendi hiyo ya Flora Mbasha wakijiweka sawa kabla ya kuingia ukumbini
A6 

A8
Mwanamuziki Ambele Mwasongwe akiperfom katika Uzinduzi huo
A10
Mh,Freeman Mbowe

A11

A12
Mh.Freeman Mbowe akiwa na ujumbe wake wakiingia Ukumbini huku ulinzi ukiwa umeimarishwa
A13
Mh,Freeman Mbowe akiwa na ujumbe wake ndani wakiwa meza kuu kama mgeni Rasmi katika uzinduzi huo
A14

A15

A17

A18 

A19

A20

A21

A22
Mh,Freeman Mbowe akiizindua DVD album yake Flora Mbasha


A24

A25

A26

A27

A29
Mwanamuziki Upendo Nkonne
A30
mwanamuziki Flora Mbasha
A31

A34

A38 

Comments