Upendo Nkonne azindua na kuweka wakfu Album yake nchini Marekani

Mchungaji wa kanisa la ANBC Donnis na Nnunu Nkone wakiiweka wakfu Album yake Upendo Nkonne

Mwanamuziki wa nyimbo za Injili kutoka nchini Tanzania,Upendo Nkonne jumapili hii ameweka wakfu na kuzindua Album yake mpya ya tano  inayokwenda kwa jina la ""Omba Yesu Anasikia " toka atoe album zingine za awali,uzinduzi ambao umefanyika nchini Marekani ndani ya kanisa la All Nations BreakThrough Church (ANBC) - Gahanna Ohio.
 

Comments