Tarehe 07/11/2015 Muhubiri maarufu sana wa Marekani Billy Graham alitimiza miaka 97 tangu azaliwe.

Ni neema ya MUNGU ya ajabu na ashukuriwe MUNGU sana kwa ajili ya mtumishi wake huyu.

Hizi hapa picha katika baadhi tu ya matukio ambayo Billy Graham alihusika.

Billy Graham amewahi kukutana na kila Rais ya Marekani kuanzia Harry S. Truman  hadi Barack Obama hapa alikuwa na rais John F. Kennedy  May 17, 1964
Mwaka mpya wa mwaka 1988, Billy Graham akiwa na mkewe Ruth huko china.
Hapa ni Mwaka 1943 siku Billy Na Ruth walipofunga ndoa.
Billy Graham katika moja ya mialiko ya kiserikali, hapa ni July 4, 1970.
Billy Graham na Ruth katika mkutano wa injili huko Texas mwaka 1953.
Huko Miami mwaka 1961.

 

 

Billy Graham mwaka 2014

 


Comments