![]() |
T.B Joshua akiwa na viongozi waandamizi wa UKAWA,kutoka kushoto ni Mzee Kingunge Ngombare Mwiru,Mh,Edward Ngoyai Lowassa,Mh,Freeman Aikael Mbowe, T.B Joshua na Mwisho ni Mh.James Mbatia |
Awali baada ya kuwasili nchini Tanzania,Nabii T.B Joshua alikutana na rais Jakaya Kikwete, na baadaye akakutana na Rais Mteule John Magufuli kisha akaelekea nyumbani kwa aliyekua mgombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwamvuli wa umoja wa vyama vinavyounda UKAWA Mh.Edward Lowassa,na kufanya naye mazungumzo kwa masaa kazaa.
![]() |
Nabii T.B Joshua akiwa katika mazungumzo na Mh.Edward Lowassa na Mh.James Mbatia ambao ni Viongozi wa UKAWA |
![]() |
T.B Joshua akiwa na Mh.Freeman Mbowe na Mh.Edward Lowassa katika muendelezo wa mazungumzo |
Comments