MAZISHI YA MAMA WA BAHATI BUKUKU YAFANYIKA JIJINI MBEYA

 Mwili wa Marehemu Enea Bukuku ukiingizwa ndani ya Kaburi

Mwanamuziki Mahiri wa Nyimbo za Injili Nchini Ndugu Bahati Bukuku katika  akiwa mwenye Uso wa Simanzi na Majonzi katika Msiba wa Mama yake Marehemu, Enea Bukuku aliefariki Tar:12,01,2016 na Mazishi kufanyika Leo Tar:15,01,2016 katika Makaburi ya Mlima James huko Jijini Mbeya.

 Baadhi ya Ndugu, Jamaa, marafiki n majirani waliohudhuria mazishi ya Marehemu Enea Bukuku Mama Mzazi wa Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili Ndugu, Bahati Bukuku.

 Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili maarufu kwa Jina la Bonny Mwaitege akizungumza jambo kwa niaba ya Wanamuziki wote wa Nyimbo za Injili katika kumfariji mwanamuziki mwenzao Bahati Bukuku katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza mama yake  Mzazi. 



   PICHA ZOTE NA MR.PENGO - MBEYA.

Comments