![]() |
Askofu Ngonyani, Askofu Mwakibolwa, Monica na Emmanuel katika tukio muhimu |
Ni Mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi. Jina lake kamili ni Emmanuel Mgaya na jana ameuaga ukapera kwa kufunga ndoa na mchumba wake Monica.
Ndoa hiyo imefungwa katika Kanisa la Mito ya Baraka lililopo Jangwani jijini Dar es Salaam.
Watu wengi maarufu walihudhuria tukio hilo na Miongoni mwa wageni waliohudhuria harusi huyo ni pamoja na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dk. Tulia Ackson.
![]() |
![]() |
Naibu Spika Mh Tulia akiteta jambo na Askofu Bruno Mwakibolwa |
![]() |
Masanja akiwasili kanisani. |
![]() |
Waigizaji nguli wa Orijino Komedi walikuwepo |
![]() |
Ulinzi ulikuwa kwa viwango vingine. |
![]() |
Siku nyingine ni laziima uwe mpolea kama huwa, hasa kwenye matukio maalum kama haya. |
![]() |
Masanja akiwasiri kanisani. |
![]() |
Mke Mwema wa Masanja akifika kanisani. |
![]() |
![]() |
Tayariiiiiiiiiii |
![]() |
Kanisani |
![]() |
![]() |
A Point of no return |
![]() |
utawapenda tu |
![]() |
Wakati wa mahubiri, Bi harusi akisoma mwenyewe Neno la MUNGU la ahadi njema |
![]() |
Mchungaji mtarajiwa akisoma Neno la MUNGU |
![]() |
Ni nani huyoooo? Ni Monica hakika. Msanja akihakiki |
![]() |
Neno litasimama daima |
![]() |
Masanja akisaini cheti cha ndoa |
![]() |
Monica akisaini cheti ya ndoa. |
![]() |
Waite tu Masanja na Mke wake Monica au Monica na Mume wake Emmanuel. |
Comments