SIKU MASANJA NA MONICA WALIPOFUNGA NDOA.

Naibu Spika Mh Tulia akisema jambo kwa maharusi Masanja na Monica
Masanja Mkandamizaji amefunga ndoa na Binti Monica jumapili tarehe 14/08/2016 katika Kanisa la EAGT Mito ya Baraka kwa Askofu Bruno Mwakibolwa.
Kama hukuisoma habari hiyo FUNGUA HAPA
Nilikuletea habari picha za jinsi ilivyokuwa kanisani wakati wa ibada ya ndoa hiyo na sasa nakuletea ilivyokuwa ukumbini usiku.

Wgeni waalikwa.

Mtume Peter Nyaga  na Askofu Ngonyani na watumishi wengine walikuwepo pia

Twanga photooo

Kekiiiiiiii

Mweshimiwa Tulia akipewa Keki na Bi Harusi

Picha ya pamoja na maharusi




Orijino Komedi walitiiisha kwa kuvaa kiafande






Comments