![]()  | 
| Kasisi huyo wa umri wa miaka 86, Kasisi Jacques Hamel, aliuwawa akiwa kwenye maombi. | 
WaIslamu zaidi ya 
mia moja wamejumuka na Wakatoliki katika sala iliyohudhuriwa na waumini 
wengi katika Kanisa moja huko Rouen, Ufaransa.
Tukio hilo limewadia , siku tano baada ya kasisi wa kanisa hilo , kuuawa na wapiganaji wa Kiislamu.Mauaji ya hivi karibu kabisa yaliyotekelezwa na wapiganaji wa Kiislamu, yameshtua Ufaransa.
![]()  | 
| Waislamu wajiunga na wakatoliki katika ibada | 



Comments