![]() |
Na Mwl Peter Mabula |
Bwana YESU atukuzwe.
Karibu tujifunze kisha tuombe.
Isaya
54:15 '' Tazama, yamkini watakusanyana; lakini si kwa shauri langu.
Watu wo wote watakaokusanyana juu yako wataanguka kwa ajili yako.''
Neno
la MUNGU linaonyesha kwamba wakati mwingine huwa kuna wanaokusanyika
kwa ajili yako katika ulimwengu wa roho wa giza, Lakini ukiomba katika
KRISTO YESU Hakika utashinda.

Kazini
kwako unaweza kuona viongozi wako wanakujadili ili wakufukuze kazi au
wakusimamishe au wakushushe cheo. Kwenye kikao hicho utawaona wanadamu
lakini naomba nikuambie kwamba hakuna jambo hata moja unaloliona katika
ulimwengu wa mwili kama tu jambo hilo halikuanzia katika ulimwengu wa
roho.

Unaweza
ukawaona wanadamu wanakujadili kwa mabaya kazini kwako kumbe katikati
yao liko jini linalowaelekeza cha kuongea na cha kuamua juu yako.
Unaweza
ukashangaa tu kwamba unashushwa cheo au kufukuzwa wakati wewe ndio
hufanya kazi vizuri na kwa uaminifu lakini wanaofanya kazi kwa ulegevu
ndio unawaona wanapandishwa vyeo, siri iko katika ulimwengu wa roho.

Ashukuriwe
MUNGU maana Neno lake linasema '' yamkini watakusanyana; lakini si kwa
shauri langu. Watu wo wote watakaokusanyana juu yako wataanguka kwa
ajili yako.''
Uchumba
wako unaweza ukajadiliwa na wachawi na kama utashindwa kuwadhibiti
hakika uchumba huo utavunjika na kukuachia maumivu makubwa.
Ni
mara nyingi sana MUNGU husema na wewe kwa ndoto na maono ili
kukujulisha kile wanachokupangia adui zako lakini wengi hudharau ndoto
hizo ambazo baadae zikitimia kujuta na kusema kumbe ile ndoto ilikuwa
kweli.
Ndoa yako kwenyUchumba wako unaweza
ukajadiliwa na wachawi na kama utashindwa kuwadhibiti hakika uchumba huo
utavunjika na kukuachia maumivu makubwa.
Ni mara
nyingi sana MUNGU husema na wewe kwa ndoto na maono ili kukujulisha kile
wanachokupangia adui zako lakini wengi hudharau ndoto hizo ambazo
baadae zikitimia kujuta na kusema kumbe ile ndoto ilikuwa kweli.
Ndoa yako kwenye kikao cha wachawi wanaweza wakapitisha maamuzi ya kwamba lazima ndoa hiyo iwe na migogoro kila siku.
Kujua huleta ushindi. Leo umejua haya ili ujue pia jinsi ya kupambana kiroho na ushinde.
Kwenye
ndoto unaweza ukaona kabisa msimamo wa maadui zako lakini wengi huwa
hawajui jinsi ya kupambana kimaombi, wengi hukimbilia kuwaambia watu
kwamba wawaombee lakini watu hao husahau maana ni mambo ambayo hayana
uzito kwao.
Ndugu nakuomba pambana mwenyewe kwa jina la YESU KRISTO na ushindi wako ni mkubwa sana baada ya kuyajua haya.
Pia nakuomba kila mara na kila siku omba ukiharibu vikao vya wote wanaokujadili katika ulimwengu wa roho wa giza.
Ukikivuruga kikao cha mashetani wanaokujadili hakika walichokusudia kwako ndio kitakuwa kimeishia hapo.
Kwa maombi ya leo hata vikao vya wachawi vya mwezi ujao au mwakani unaweza kuvisambaratisha.
Ukiwa
ni mtu unayeishi maisha matakatifu ya wokovu wa KRISTO na ukawa
muombaji hakika utakuwa mtu hatari katika ulimwengu wa roho. Wakati
mwingine mawakala wa shetani kila wakitaka kukujadili tu watajikuta
wanasahau au viti vinawaka moto na wanahairisha kikao hicho, kikao cha
wachawi wanaweza wakapitisha maamuzi ya kwamba lazima Ndoa hiyo iwe na
migogoro kila siku.

Leo umejua haya ili ujue pia jinsi ya kupambana kiroho na ushinde.
Kwenye
ndoto unaweza ukaona kabisa msimamo wa maadui zako lakini wengi huwa
hawajui jinsi ya kupambana kimaombi, wengi hukimbilia kuwaambia watu
kwamba wawaombee lakini watu hao husahau maana ni mambo ambayo hayana
uzito kwao.
Ndugu nakuomba pambana mwenyewe kwa jina la YESU KRISTO na ushindi wako ni mkubwa sana baada ya kuyajua haya.
Pia nakuomba kila mara na kila siku omba ukiharibu vikao vya wote wanaokujadili katika ulimwengu wa roho wa giza.
Ukikivuruga kikao cha mashetani wanaokujadili hakika walichokusudia kwako ndio kitakuwa kimeishia hapo.
Kwa maombi ya leo hata vikao vya wachawi vya mwezi ujao au mwakani unaweza kuvisambaratisha.
Ukiwa
ni mtu unayeishi maisha matakatifu ya wokovu wa KRISTO na ukawa
muombaji hakika utakuwa mtu hatari katika ulimwengu wa roho. Wakati
mwingine mawakala wa shetani kila wakitaka kukujadili tu watajikuta
wanasahau au viti vinawaka moto na wanaarisha kikao hicho.
Nadhani
umewahi kuona baadhi ya ajenda katika vikao zikiarishwa na kupangiwa
siku nyingine kwa sababu tu ya uzito wa ajenda hizo. Kwa mwanamaombi
halisi anayemcha MUNGU katika KRISTO ajenda zote zinazokuhusu wewe adui
zako wanaweza kujikuta wanaahilisha kila mara hadi miaka inapita hakuna
kilichokupata.
Maadui zako katika ulimwengu wa roho wa giza hukaa vikao ili kukujadili na kukuwekea mikakatai ya kukuharibia au kukuangamiza.
Maadui zako hukaa vikao ili kukujadili unaendeleaje kiroho.
Maadui zako hujadili watakuharibiaje uchumi wako, kazi yako au biashara yako.
Hukusanyikana katika vikao ili kuhakikisha mipango yako haiendi.
Maadui zako wanaweza kukaa vikao ili kupanga mikakati ya kukuharibia muujiza wako, uchumba wako au ndoa yako au baraka yako.
Maadui
zako wanaweza kukaa vikao kwa ajili ya kuchunguza asili ya nguvu zako
na ili wafanye mpango wa kuhakikisha nguvu zako za kiroho zinaondoka
kwako.
Hebu ona kikao hiki kilichokuwa kinamjadili Samsoni ili wajue asili ya nguvu zake ili wapate kumwangamiza.
Waamuzi
16:5 '' Nao wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, Mbembeleze,
upate kujua asili ya nguvu zake nyingi, na jinsi tutakavyoweza
kumshinda, tupate kumfunga na kumtesa; nasi tutakupa kila mtu fedha elfu
na mia moja. '
Wafilisti
kama maadui wa samsoni walikaa kikao na Delila mkewe Samson ili tu
kujua asili ya nguvu za samson, kwenye kikao hicho walipanga hadi
kiwango cha pesa ili tu kumpa Delila kama atawafanikisha mpango wao.
Hata
wewe mmoja wa rafiki zako wa karibu au ndugu yako anaweza akaitwa
katika kikao cha wabaya wako ili wajue jambo fulani kuhusu wewe ili
wakumalize kwa urahisi.
Wachawi wanaweza kukaa kikao kwa ajili yako ili kuhakikisha hufanikiwi.
Kuna
mtu anaweza kwenda kwa waganga kwa ajili yako, huko kwa mganga atakaa
kikao na mganga ili kukujadili kwa lengo la kukudhuru au kukuharibia.
Unaweza
kuwa ni mwanafunzi mwenye akili nzuri lakini adui yako anakwenda kwa
waganga na kufanya kikao ili kuharibu ufahamu wako.


Inawezekana jina lako hupelekwa kwenye vikao vya mashetani kila mara.
[8/16, 12:00 PM] Mwl Peter Mabula:
Dalili
moja wapo ya mtu jina lake kutajwa kwenye madhabahu za giza ni
kusisimka nywele au mwili wote ghafla bila tatizo, wakati mwingine
kutajwa kwa jina la mtu katika madhabahu za wachawi hukosa amani ghafla
moyoni mwake.





Kuna
watu wanaumwa ukimwi lakini ni ukimwi wa kutengeneza na mashetani tu,
ndugu ni muhimu sana kuharibu vikao vyote vya wanaokujadili kwa mabaya.
Inawezekana kabisa wanapanga ufe au wanapanga upooze.
Inawezekana kabisa wanapanga uzeeke bila kuolewa.
Inawezekana kabisa wanapanga kwenye vikao vyao vya giza kwamba kila mwaka uwe unafiwa tu.
Inawezekabisa wanaiwekea mipaka familia yenu ili mtu akifanikiwa tu kidogo afe.


[8/16,
12:02 PM] Mwl Peter Mabula: Asante kwa kunielewa na leo omba sana
ukiharibu vikao vyote vya mawakala wa shetani dhidi yako.






MUNGU Baba anasema
''Mkono wako na uinuliwe juu ya adui zako, na adui zako wote wakauliwe mbali.-Mika 5:9 ''
Hapa chini ni ya MAOMBI YA KUSAMBARATISHA VIKAO VYA WANAOKUJADILI KIPEPO.
Maombi
haya naomba yamsaidie mtu yule ambaye hajui kuomba ili katika kuomba
kwa kutumia hayo basi atakumbuka mahitaji yake na kuyataja katika maombi
yake.
Kwa waombaji wazoefu naamini baada tu ya kulisoma somo na kulielewa basi anajua aombee nini.
MAOMBI YA KUSAMBARATISHA VIKAO VYA WANAOKUJADILI KIPEPO.
YAHWEH MUNGU uliye hai ninakushukuru na kukuabudu BWANA.
Asante kwa uzima wako kwangu na asante kwa nafasi hii ya kuomba mbele zako maombi muhimu ya kuniletea ushindi wangu leo.
Nakushukuru MUNGU wangu kwa ufunuo huu wa leo.
Niko mbele zako MUNGU wangu nikivunja vikao vyote vya siri wanavyokaa maadui zangu ili kunijadili.
Nasambaratisha vikao vyote vya watu wabaya wanaoijadili kazi yangu na biashara yangu.
Niko kinyume na vikao vyote vya wachawi dhidi yangu na navifuta leo na kuvisambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao vyote washirikina wanaokaa kwa ajili yangu,Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao vyote vya watu walioniendea kwa waganga wa kienyeji, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao vyote vya wasionitakia mema, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao vyote vya wachawi wanaotaka kuharibu uchumba wangu/ndoa yangu, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao vyote vya wanadamu wanaotumika kipepo dhidi yangu, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha kila aina ya vikao vya siri vya giza, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao mapepo vilivyokaa baharini au porini,Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao vyote vya wachawi vya mchana na usiku, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha kila vikao vinavyopanga kunifelisha, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaritisha vikao vyote vya kupanga ajali na mikosi na balaa, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambatisha mchawi na uchawi wake, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
nasambaratisha mganga wa kienyeji na uganga wake, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambatisha mshirikina na ushirikina wake, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha mkuu wa giza na giza lake, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao vyote vya kunipangia kuumwa, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nsambaratisha vikao vyote vya kuniletea misiba, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasambaratisha vikao vyote vya giza vya kuniletea madeni, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Nasamabatisha vikao vyote vya kuniletea ajali na balaa, Nasambaratisha kwa jina la YESU KRISTO.
Asante MUNGU BABA mwenyezi kwa kunipa ushindi leo.
Asante Bwana YESU maana damu yako na jina lako vimenishindia.
Asante ROHO MTAKATIFU maana katika wewe nimeshinda.
Katika jina la YESU KRISTO nimeomba na kupokea ushindi.
Amen Amen.
MUNGU akubariki sana.
Omba sana katika jina la YESU KRISTO na utamuona MUNGU wa Miujiza.
MUNGU akubariki sana.
By Mwl Peter Mabula
Mtenda kazi katika Shamba la Bwana YESU KRISTO Mwokozi wetu aliye hai.
+255714252292
Ubarikiwe
Comments