- Bali wale waliompokea YESU aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa MUNGU, ndio wale waliaminio jina lake {YOHANA 1:12} Ubarikiwe sana mtoto wa MUNGU popote ulipo na nakutakia siku njema.
UFUNUO 3:20 {Tazama nasimama mlangoni nabisha; mtu akiisikia sauti yangu na kuufungua mlango nitaingia kwake nami nitakula pamoja naye na yeye pamoja nami}ndugu mlango ni moyo wako wako na YESU anataka aingie moyoni mwako ili awe BWANA na MWOKOZI wako ili akurinde na kukupa uzima wa mileleMUNGU AWABARIKI SANA NA HII IMETOKA KWENYE PAGE YETU YA www.facebook.com/maishaYaUshindi.
Comments