![]() |
PETER |
ye
majonzi mazito nikiwa nimelala, nikaona mbingu zimefunguka na mala
nikajikuta niko dunia nyingine kabisa na watu wa kwenye hiyo dunia ni
wakarimu vibaya mno! Mara wakaja watu watatu, wakanisalimia kwa pamoja
nami nikiwa nashangaa shangaa wawili wakajitenga mbali kidogo nikabaki
na mmoja wao, nae akaniuliza je! Una wasi wasi na mimi? Bila kutegemea
nikajikuta nimemwambia hapana! Sina wasi wasi na wewe hata kidogo!
Akaniambia najuwa kuwa huna wasi wasi na mimi, nikamuuliza sasa kwanini
kumbe kuniuliza!? Akania mbia kuwa kwanini unalia mpaka unaninyima raha?
Nikamwambia kuwa napenda ninyamaze kulia lakini nashindwa, akaniambia
kuwa tamka neno lolote kwa anayekufanya ulie hivyo nami nitalifanya.
Ndugu zangu wapendwa, ningese uyu mtu na afe si dhani kama leo hii
tungekuwa nae nashukuru nilitamka kitu kingine kabisa! Na leo hii kile
kitu kimekuwa dhahili. Wangapi wanamtegemea Mungu kwa kila jambo?
Mwenyezi Mungu ndo kila kitu, na Mungu wa kweli ni yule ambaye Yesu
kristo alitufundisha kuwa daima tumuite Baba. Tumtambuwe kama Baba.
Amen. Amen maana yake na iwe, imekuwa tayari.By Peter T Peter.
{ ndugu zangu ni jambo muhimu sana kushuhudia matendo makuu ambayo MUNGU amekutendea ili na wengine wajifunze na wabarikiwe ila iwe tu ni ushuhuda wa kweli ndugu yetu huyu ambaye anaishi springs free state south Africa ambaye ni mdau mkubwa wa page yetu ya maisha ya ushindi katika facebook ametoa ushuhuda huu na ameruhusu utumike kuwafundisha na wengine na haya MUNGU anayatenda sana kumbuka MUNGU alivyomsaidia Ibrahimu akawapiga wafalme kumi sasa [Mwanzo 14:17-24] sasa swali hivi familia moja inaweza kupiga mataifa kumi? lakini MUNGU alimpigania Ibrahimu na akawapiga hawa na MUNGU huyo huyo ndie MUNGU wako na yale matendo aliyoyatenda enzi zile anaweza kuyatenda hata leo kwani yeye ni yule yule jana leo na hata milele [waebrania 13:8] MUNGU akubariki sana na kama una ushuhuda wa kweli tutumie katika www.facebook.com/maishaYaUshindi. MUNGU akubariki sana na KWA MSAADA WA MUNGU TUTATENDA MAKUU MAANA YEYE ATAWAKANYAGA WATESI WETU.{ZABURI 60:12}
![]() | ||
PETER T PETER |
![]() |
PETER AKIWA NA RAFIKI YAKE |
Comments